Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Samaboy.
I have been to Tanzania, not once, not twice.
You've never been to Kenya.
I understand Tanzania more than you understand Kenya.
If my judgement of Tanzania is wrong by a half, your judgement of Kenya would be wrong by over 98%.
Sasa kuja Tanzania kutembea kwa wiki moja kunatosha wewe kujua mazingira ya biashara kweli.? Tena unaishiaga Moshi vijijini huko.? Umefika Dar kutembea siku mbili i think ilikua last year, tena ulifikia mikocheni.? Ukaenda posta kuhakikisha kama TPA tower ina floors 40 ama lah.? 😂😂😂 you are so funny.

Unakuja hapa unaleta general overview ya mazingira ya biashara Bongo.? 😂😂😂
 
1. I just proved you that selling 2000 plates for a roadside vendor is impossible.
2. Yesterday I proved to you Kenya has way more and better luxury apartments ukabadilisha magoli.
3. Teargass just proved you wrong when you argued that no one talked about selling goats.

This just in the last 12 hours.

1. Sasa wewe tuambie chips mayai bei sasa ni ngapi per plate ningependa nipate hiyo bei yako nione nikivyoumbuka,
2. Ebu screenshot hiyo meseji nikimjibh mwenzio kuwa nauza mbuzi as a proof.
 
Superior education ambayo imeshindwa kuwafanya muishi vizuri kama Watanzania
I can prove that we have superior education - Rich Tanzanians send their kids to Kenya for school and Tanzanians living on the border send their kids to Kenyan schools. Meanwhile, you can't prove that you have better standards of living than Kenya other than your own rhetoric and make-believe imaginations. In fact, statistically, Kenya has better living standards with an HDI of 0.601 vs Tanzania's HDI of 0.538.
 
Superior education inawafanya kuwa watumwa kiakili ,tafuta mwanafunzi yoyote aliyeanzia Kenya kuja tz anavyofeli.
Uzuri wengi tuliona ujinga tukaeudi zetu bongo . 🤣🤣🤣🤣
We once told you that Kenyans that come to study in Tanzania are those who failed in Kenya, they had no option but to cross the border.
 
Sasa kuja Tanzania kutembea kwa wiki moja kunatosha wewe kujua mazingira ya biashara kweli.? Tena unaishiaga Moshi vijijini huko.? Umefika Dar kutembea siku mbili i think ilikua last year, tena ulifikia mikocheni.? Ukaenda posta kuhakikisha kama TPA tower ina floors 40 ama lah.? 😂😂😂 you are so funny.

Unakuja hapa unaleta general overview ya mazingira ya biashara Bongo.? 😂😂😂
1. That is not the only time I went to Tanzania.
2. Even if it was, that would still be better than you who has never even touched the Kenyan border.😂😂😂
Any other question?
 
I can prove that we have superior education - Rich Tanzanians send their kids to Kenya for school and Tanzanians living on the border send their kids to Kenyan schools. Meanwhile, you can't prove that you have better standards of living than Kenya other than your own rhetoric and make-believe imaginations. In fact, statistically, Kenya has better living standards with an HDI of 0.601 vs Tanzania's HDI of 0.538.
Vyuo vya Kenya huwa wanakuja high school kujibrand, hata kwetu walikuja
Wanafunzi wanaofail kupata vyuo vya Tanzania kwa sababu ya high competition ndio wanakuja Kenya
Wanafunzi wengi sana wanapata First Class (huku tunaita Division I) wanaapply course za ndoto zao vyuo vya Tz na wanakosa nafasi, wanapata course ambazo hawazitaki, so alternative inakuwa ni kuangalia Private Universities au kwenda kutafuta vyuo nje ya nchi kama Kenya ambako ni rahisi kupata as long as una ufaulu mzuri
 
Muache naona wanaweka mpaka price fluctuation na usafiri kwa chips mayai , nani aliwaambia muuza chips anaenda sokoni kununua viazi,
Kuna watu wa kuuza viazi wanafanya delivery wenyewe wa mafuta mpaka wauza pumba kwa ajili ya kuchomea chips wanafanya delivery wenyewe .
More than mtu umemuwekea mpaka miscellaneous cost per plate baada ya majors costs ambazo ni umeme, viazi, mafuta na kachumbari tu.
Hakuna gharama zaidi ya hapo.
Price fluctuation nani aliwaambia chips bei huwa inapanda na kushuka?🤣🤣🤣🤣
Shida wajiona wasomi halafu ni empty headed
Sahii kuna Gas Bonge moja la mtungi, hapo mtaa wa pili kutoka kwangu kuna jamaa anauza chipsi anao na zile jiko za umeme, nipo njiani naelekea home nitapitia pale niupige picha, nitapost humu watu wajifunze Tz.
 
1. I just proved you that selling 2000 plates for a roadside vendor is impossible.
2. Yesterday I proved to you Kenya has way more and better luxury apartments ukabadilisha magoli.
3. Teargass just proved you wrong when you argued that no one talked about selling goats.

This just in the last 12 hours.
Screenshot_20260729-134345~2.jpg

Usikimbie ebu leta screenshot ya sehem ya maneno haya iwe Jana juzi au mwaka uliopita kuwa tunafanya importation ya simu,
Kuna ka 1,000,000 kanawasubiri🤣🤣🤣😀😀
Screenshot_20260729-134345~2.jpg
 
Vyuo vya Kenya huwa wanakuja high school kujibrand, hata kwetu walikuja
Wanafunzi wanaofail kupata vyuo vya Tanzania kwa sababu ya high competition ndio wanakuja Kenya
Wanafunzi wengi sana wanapata First Class (huku tunaita Division I) wanaapply course za ndoto zao vyuo vya Tz na wanakosa nafasi, wanapata course ambazo hawazitaki, so alternative inakuwa ni kuangalia Private Universities au kwenda kutafuta vyuo nje ya nchi kama Kenya ambako ni rahisi kupata as long as una ufaulu mzuri
Another claim retrieve from the ass. Would you mind mentioning some of those Kenyan universities that came to market in Tanzania. Just mention one and date, I know it must appear in their social page.
 
Sahii kuna Gas Bonge moja la mtungi, hapo mtaa wa pili kutoka kwangu kuna jamaa anauza chipsi anao na zile jiko za umeme, nipo njiani naelekea home nitapitia pale niupige picha, nitapost humu watu wajifunze Tz.
But kupiga picha gorofa la 20 floor still under construction is where you draw the line?🤣🤣😂
 
Another claim retrieve from the ass. Would you mind mentioning some of those Kenyan universities that came to market in Tanzania. Just mention one and date, I know it must appear in their social page.
Why should I remember the name of those Universities. Na kwa taarifa yako sio tu Kenya, hata vyuo vya India na Malaysia huwa wanakuja kujibrand.
Kwa nini nianze kukariri majina ya vyuo vya Kenya. Vinanisaidia nini 🚮
 
View attachment 3639116
Usikimbie ebu leta screenshot ya sehem ya maneno haya iwe Jana juzi au mwaka uliopita kuwa tunafanya importation ya simu,
Kuna ka 1,000,000 kanawasubiri🤣🤣🤣😀😀View attachment 3639116
Shida yako unajiingizanga kwa mijadala sii yako alafu unaanza kulialia ukiitisha proof.
Teargass anamuongelesha Traveller D wewe unaingilia ni kama kakuongelesha.
A few posts ago, nimemjibu Traveller D kuhusu my knowledge of Tanzania vs his knowledge of Kenya, pia wewe unajiingiza kwenye mjadala na makasiriko yako.
Tulia bradhee, utauliwa na makumbo. 🤣 🤣 🤣
 
Vyuo vya Kenya huwa wanakuja high school kujibrand, hata kwetu walikuja
Wanafunzi wanaofail kupata vyuo vya Tanzania kwa sababu ya high competition ndio wanakuja Kenya
Wanafunzi wengi sana wanapata First Class (huku tunaita Division I) wanaapply course za ndoto zao vyuo vya Tz na wanakosa nafasi, wanapata course ambazo hawazitaki, so alternative inakuwa ni kuangalia Private Universities au kwenda kutafuta vyuo nje ya nchi kama Kenya ambako ni rahisi kupata as long as una ufaulu mzuri
Sio kwamba wanafunzi wanao fail competition ya chuo huku bongo huenda tu Kenya, wanafunzi hao wanaendaga pia uchina, India n.k. 😂😂😂

Kwa mfano kwa wanafunzi wanaotaka kusomea udaktari pale Mhimbili kama haujapata division 1.3 au 1.4 au 1.5 hauwezi pata udahili Muhimbili. 😂😂 hao huwa wanakimbilia kenya au nchi za huko ughaibuni kusoma udaktari.
 
Back
Top Bottom