Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 3639012
We mwambie tu gharama ya kununua funua nijambe za affordable housing hiyo hela mtu anajenga vitu kama hivyo tena wengine hata kazi hawana bali wauza chips tu
Haya basi, wacha siasa, Give us actual stats. For affordable housing you can clearly see how much you’re required to pay.
Tell us huyo muuza chips anatengeneza hela kiasi gani ili aweze kujenga nyumba ya hela ngapi..
wachana na theory, break it down for us
 
Anza kuonesha yako kwanza, kabla ya yeye
So in short Hana?🤣😂 Yani huwa mnapiga domo hapa mtu anawezadhani mko na kila Kitu, lakini mkiambiwa muonyeshe mnashindwa.

Haya sasa tuonyeshe yako, mmesema Watanzania WA kawaida has better houses. I'm assuming wewe ni mtanzania wa kawaida, now show us yours😂😂
 
My parents live in Rural Tanzania but they have a better house than majority of KenyansView attachment 3639041
Halafu mimi bado ni young, nasoma. Sina nyumba bado, ila najua sitaishi kwenye affordable houses kama nyie 😂😂
Thanks for being honest, now keep quiet and learn about bicycle repairs pole pole.
 
Haya basi, wacha siasa, Give us actual stats. For affordable housing you can clearly see how much you’re required to pay.
Tell us huyo muuza chips anatengeneza hela kiasi gani ili aweze kujenga nyumba ya hela ngapi..
wachana na theory, break it down for us

Unataka statistics kwa informal sector kweli nyinyi mazumbukuku.🤣🤣🤣🤣

Sasa kwanza nikupe tu hesabu ya muuza chips wa kawaida sana kwa sehem kama Dodoma au aliyekaribu na chuo, stendi na kadhalika .
Faida ya sahani moja huwa ni 500 tsh per plate .
Wengi kwa siku wanauza zaidi ya plates 100 , so wanalala na zaid ya 50,000 hapo hatujaweka hesabu yavipaja vya kukubmishikaki na kadhalika .
Kwa siku 25 anatoka 62500 ksh .
Sasa jiulize kwa hiyo pesa anashindwa kujenga nyumba ya 25mil kwa miaka miwili ?
Buda tanzania sio Kenya.
Huku hata kondakta wa basi au dereva wa kawaida tu anamiliki hiyo mijengo
 
Unataka statistics kwa informal sector kweli nyinyi mazumbukuku.🤣🤣🤣🤣

Sasa kwanza nikupe tu hesabu ya muuza chips wa kawaida sana kwa sehem kama Dodoma au aliyekaribu na chuo, stendi na kadhalika .
Faida ya sahani moja huwa ni 500 tsh per plate .
Wengi kwa siku wanauza zaidi ya plates 100 , so wanalala na zaid ya 50,000 hapo hatujaweka hesabu yavipaja vya kukubmishikaki na kadhalika .
Kwa siku 25 anatoka 62500 ksh .
Sasa jiulize kwa hiyo pesa anashindwa kujenga nyumba ya 25mil kwa miaka miwili ?
Buda tanzania sio Kenya.
Huku hata kondakta wa basi au dereva wa kawaida tu anamiliki hiyo mijengo
Anadhani Tanzania ni Kenya, huko Kenya kuna maeneo hadi leo ni heri hata South Sudan
Watanzania sikuhizi wameanza kujenga nyumba nzuri hadi vijijini. Vijana wengi sana wamejiajiri kwenye sekta ya ujenzi kwa sababu kila siku kila wiki nyumba mpya zinajengwa. That's why huwezi kukuta affordable houses za serikali zikiwa trending topics in Tz.
 
Faida ya sahani moja huwa ni 500 tsh per plate .
Do you even know how profit and loss in calculated? Kindly tell us how you have arrived to this profit.

1. What's the cost of viazi per plate?
2.What's the cost of cooking oil per plate?
3.What's the cost of energy per plate?
4.What's the cost of tomato source/Chilli Source per plate?
5. What's the cost of salt per plate?
6.What's the cost of labour?
7. What's the cost of electricity per plate?
8. What's the cost of rent per plate?

Now tell us how much is the selling price per plate.

From there we can calculate if they are making profit or losses.
 
So in short you have been busy posting other people's houses instead of yours wewe fundi wa baiskeli?
Yeah, hizi ni nyumba za Watanzania wa kawaida huku Mbeya, ambako ndio nasoma sasahivi, just so you know.
Kingine wewe ni kichwa ngumu, sehemu yoyote ile duniani ngumu kukuta mtu wa my age anamiliki nyumba, you on the other hand ulikuwa unabrag mara kwa mara the way una umri mkubwa kuliko mimi. So come on, show me your house. Don't be such a pussy
 
Yeah, hizi ni nyumba za Watanzania wa kawaida huku Mbeya,
Nyumba za watu WA kawaida Mbeya.

1785313679134.jpeg
 
Back
Top Bottom