Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_8020.jpeg
IMG_8021.jpeg
 
Bado wewe ni fala mmoja tu.

Sijui kama unajua maana ya TAZARA, kwa Zambia kuiikimbia TAZARA ni sawa na kujipiga risasi mguuni. Na pia bado TAZARA unabeba mzigo kutoka DRC kwa wingi tu.

Huko Mozambique watajuana wenyewe kwenye mambo ya security, ni sawa tu na EACOP ilivyopotea kunyaland na kujipata Iko Tanga. Haya mambo hayaendi kwa maneno tu mzee... Kuna mikakati imesukwa vizuri tu.

Kitu Cha kusikitikia ni hiyo garimoshi yenu huko north corridor... 8 hours from mombasa to naivasha... Wakati hapo sisi tayari kwa SGR tunakuwa tupo Kigoma... Maana yake nini? Kwa muda mfupi, na kwa gharama nafuu maana hatutumii fossil fuels... Tunaweza kubeba mzigo mwingi kwa Nchi jirani kama Uganda, Rwanda , Burundi na Congo... Hata Hadi South Sudan... Tunawafikia haraka kabla ya hiyo chuma chakavu yenu.
Huyo bwege anavyojua yy tazara ni shirika la Tanzania peke yake 😂
 
Kumbe ndugu zetu Uganda wanajua hawa mafala wa north ni debe tupu tuu...

I wish tungepata jukwaa la UG ambalo ni very engaging kama hili tuwe tunasumbuana na Ndugu zetu UG kwenye banter. Tuachane na hawa majirani mafala.
AMARII the liker, you would never get along with Ugandans. Unajua Ugandans language barrier inafanyanga msijuane kiundani. Sisi tunawajua nyinyi wote. Hamuendani. 🤣 🤣
Anyway, here is one of the comments.

View: https://twitter.com/kel_vynne/status/2079796444819583034
 
Back
Top Bottom