Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta Stadium

1000342117.jpg
 
Kumbe ndugu zetu Uganda wanajua hawa mafala wa north ni debe tupu tuu...

I wish tungepata jukwaa la UG ambalo ni very engaging kama hili tuwe tunasumbuana na Ndugu zetu UG kwenye banter. Tuachane na hawa majirani mafala.
La uganda lipo. ila wale kilugha chao kigumu labda watu wa bukoba kule ndo wanaelewana nao! wakenya waongeaji ila maskini wa kutupa 😂😂 Ugandas arent rich but hawana umaskini ule uliopitiliza
1784710467991.png
 
i dont see anyhow huu uwanja unaenda kutumika, adding ontop of riots za election, Rwanda waandae tu uwanja
1784710591595.png
 
mad respect for that dude alisema upande huu utaanza kuoza ukiweka majani mengine, na kwel mambo yashaanza

1784711108620.png
 
Back
Top Bottom