Niko na njaa kali sana ya siku tano na bado nakanyangwa hapa kama burukenge. joto la jiwe, Annael redeemer, ichoboy01, Mwanzi 1, Bitter pill, Tony MTZ, tuusan aka Susan, etc.
I don't think it can be in Tanzania, what about you?where is pinnacle???😀😀😀😀
Naona nilikufunza ku-edit. Congratulations son you're a good student, nimekupatia alama ya B.Wakenya kwa ushoga. Sijui matatizo ya kisaikolojia!!!
Wasee wa njaa hoyeeeeeNaona nilikufunza ku-edit. Congratulations son you're a good student, nimekupatia alama ya B.

Cha Kikenya hicho na nitaandika nijuavyo.Jifunze kuandika kiswahili vizuri![]()
![]()
![]()
![]()
Ficha ujinga wakotrue....kwanza a Kiberan probably has more money than a tanzanian...nikama tu vile homeless people in the US are richer than Kenyan homeless...or blacks in US ghettos ar wealthier than those in Kenyan ghettos
Hahaha si unaona walivyonyweaUtaua aiseeee!!!
Huwezi ukajiita nchi iliyo endelea bila kuwa na food security , Kenya kila mwaka mnalilia Tanzania wawasaidie msosiKuna Nchi moja West Africa ambayo ni a big producer of Uranium lakini bado ni LDC, Kwa hiyo Nchi inajulikana kama Niger. Je ina maana Niger ndio inayolisha China, USA na Japan?
Huwezi ukajiita nchi iliyo endelea bila kuwa na food security , Kenya kila mwaka mnalilia Tanzania wawasaidie msosiKuna Nchi moja West Africa ambayo ni a big producer of Uranium lakini bado ni LDC, Kwa hiyo Nchi inajulikana kama Niger. Je ina maana Niger ndio inayolisha China, USA na Japan?
Huwezi ukajiita nchi iliyo endelea bila kuwa na food security , Kenya kila mwaka mnalilia Tanzania wawasaidie msosi
Imaging kidume kizima umekaa unakula chakula cha msaada ww na familia yako na mashamba wameshika watu wachache na hawayalimi yamekuwa mapori
Ndo maana ata Nairobi ikipigwa picha kwa juu inaonekana kama pori watu wameshika viwanja hawafanyi kitu na hamuwagusi
Naenda Darasani kwanza...... Unaongea tu shit and therefore you are a shithole. You know nothing about Nairobi. Fullstop.
KibichCan you tell me what is this shit called Nrb ?![]()