Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 1,721
- 4,601
Nimeona, yeye alidhani waarabu wwehu wanajenga jenga bila sababu. 😂😂😂Mmoja akapost Al thumama akalinganisha na talanta, maskini ya Mungu alikuwa hajui kama Al thumama inatambulisha kitu fulani, yeye alifikiri ni box kama Allianz Arena au talanta 😀😀