Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uwanja ambayo imetumia a unique technology ambayo umetumika in ONLY five other stadiums dunia nzima unaita sio modern? 🤔🤔🤔

What is modernity to you if I may ask?
I asked him the same question na hajanijibu hadi WA Leo.
 
Did you say Allianz Arena is not modern? 🤣🤣🤣🤣
OMG! I missed that part
Ndo viwanja vyenu vya ki Africa mli copy hapo, now ushapitwa na wakati, dunia ishatoka huko. Unabaki kuwa advanced stadium in terms of facilities but not modern.
 
Jaribu kufuatilia mjadala kwanza kabla ya kutoa maboko kama haya unaongea hapa, niliuliza Old Trafford ina kila kitu ndani ambacho viwanja vyetu vya ki Africa havina, je utasema ni modern stadium? Kitu nmegundua wakenya mna safari ndefu sanaa, na kwa akili hizi no wonder mnapigwa sana kwenye miradi.
What's modernity according to you?
 
Because you don't know what modernity means utasema Allianz Arena ni modern, na nikakuuliza OT ina facilities zooteee ambazo nyingi Arusha stadium haina, je OT ni modern than Arusha stadium?
So all the articles and researchers that rank Allianz Arena among the top 10 modern stadiums in the world ni wajinga na wewe ndiye mwerevu? I think you are just a fool.
 
Ndo viwanja vyenu vya ki Africa mli copy hapo, now ushapitwa na wakati, dunia ishatoka huko. Unabaki kuwa advanced stadium in terms of facilities but not modern.
I rest my case. There's no need wasting time on this 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwamba Allianz Arena with these kind of world-class skyboxes is not modern?🤣🤣🤣🤣
Businessclub.jpg
1_-_DSC02345-HDR.jpg
allianz-arena-07-1110cdc520.jpg
TOM_7173_Kopie.jpg


Show me any stadium in Tanzania including hiyo Arusha yenu with anything close that
 
Nyinyi wakenya jaribuni kuwa na uwezo wa kufikiri hata kidogo jamani, Allianz Arena imejengwa mwaka 2005, na umekuwa most modern kwa muda mrefu, tunapoongelea modernity tunaongelea ubunifu, now viwanja vya kisasa havijengwi kwa design ile tena.
 
Nyinyi wakenya jaribuni kuwa na uwezo wa kufikiri hata kidogo jamani, Allianz Arena imejengwa mwaka 2005, na umekuwa most modern kwa muda mrefu, tunapoongelea modernity tunaongelea ubunifu, now viwanja vya kisasa havijengwi kwa design ile tena.
Tunapoongelea modernity tunaongelea ubinifu🤣🤣🤣

What is creative about Arusha stadium? Is it about having an oversized roof
FB_IMG_1782398824822.jpg


Or is it having LED screens hanging a few inches from the ground?
IMG_1067.jpeg
 
Tunapoongelea modernity tunaongelea ubinifu🤣🤣🤣

What is creative about Arusha stadium? Is it about having an oversized roof
View attachment 3625511

Or is it having LED screens hanging a few inches from the ground?
View attachment 3625512
Hata kama utakimbilia picha za ujenzi ambao haujaisha ila bado huwezi badili kinachoonekana ground kwasasa. 😂😂😂 umia vizuri 👇🏾
IMG_7101.jpeg
IMG_7102.png
IMG_7103.png
n guess what, the stadium is still under construction. Ngoja iishe ili ukimbie humu. 😂😂😂
 
I rest my case. There's no need wasting time on this 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwamba Allianz Arena with these kind of world-class skyboxes is not modern?🤣🤣🤣🤣
View attachment 3625502View attachment 3625504View attachment 3625505View attachment 3625507

Show me any stadium in Tanzania including hiyo Arusha yenu with anything close that
We mshamba naongelea design siongelei facilities, unataka kulinganisha facilities za viwanja vya ulaya na Africa? Hivi una akili kweli wewe.
Hii hapa ni San siro, unataka kusema ni modern than Arusha just because ina facilities ambazo Arusha haina?
Screenshot_20260709_092310_Google.jpg

Hii ni Azteca stadium ya kule Mexico, utasema ni modern kwasababu ina hizi facilities 👇👇
Screenshot_20260709_092127_Google.jpg

Eleweni mada acheni ushamba.
 
Hata kama utakimbilia picha za ujenzi ambao haujaisha ila bado huwezi badili kinachoonekana ground kwasasa. 😂😂😂 umia vizuri 👇🏾View attachment 3625513View attachment 3625515View attachment 3625516n guess what, the stadium is still under construction. Ngoja iishe ili ukimbie humu. 😂😂😂
Tunaongelea design wao wanaongelea facilities na wanalinganisha facilities za viwanja vya ulaya na vya Africa, uwanja unaweza kuwa na facilities za kisasa ila design yake ikawa imepitwa na wakati kama unavyoona Arusha stadium ndiyo design za kisasa za viwanja zipo hivyo, yn uwanja wa mpira lkn design yake ni tofauti na watu walivyozoea ya box au round shape kama vilivyo viwanja vingi duniani.
 
Tunaongelea design wao wanaongelea facilities na wanalinganisha facilities za viwanja vya ulaya na vya Africa, uwanja unaweza kuwa na facilities za kisasa ila design yake ikawa imepitwa na wakati kama unavyoona Arusha stadium ndiyo design za kisasa za viwanja zipo hivyo, yn uwanja wa mpira lkn design yake ni tofauti na watu walivyozoea ya box au round shape kama vilivyo viwanja vingi duniani.
Kama china tu, kwasasa kuna designs za kisasa kibao za viwanja duniani, wenzetu wao wameishia kupewa sufuria na wachina. Duniani Watu wanajenga kwa kuwa ispired na vitu vilivyopo mazingira yao yanayowazunguka au any land mark ambayo inawatambulisha kidunia. Jirani yupo nyuma ya muda, mimi nasemaga humu hao jamaa hawana identity, they don’t even have their national language wanadandia dandia tu. 😂😂😂 very stupid societies.
 
Back
Top Bottom