Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu wa kenya ni kama huu wa Rwanda
Screenshot_20260708_215743_Google.jpg
 
Nobody even knows this building. It's just a random building pale Westy na imekua hapo for sometime lakini ingejengwa kwa our Southern brothers ungekuwa unawaskia daily eti Blue Glass building blah blah. 🤣 🤣 🤣

View attachment 3625292
😂😂😂 majengo ya hivi yapo kibao even in mbeya. Ni kagorofa kabaya kakawaida mno. Cheki mbeya hiyo these buildings are way better and beautful than whatever you posted. 👇🏾hii ni Mbeya
IMG_7119.jpeg
IMG_7120.jpeg
suala la blue buildings bongo ni jambo la kawaida, sisi hatjengi tu gorofa ali mradi ni lazima tuzingatie standards .. hatujengi gorofa za udongo sisi.
 
Bro najua hili suala limekuuma sana ila ndiyo ukweli, tunaposema modern tunaanzia nje, yn muonekano wake kwa nje, kwani ngoja nikuulize, kati ya old Trafford na talanta uwanja upi una facilities za kutosha? Mbona OT hauitwi ni modern stadium? Modernity inaanzia kwenye design, uwanja wa talanta design yake sio modern ila ni new stadium.
Ok, list two features that make Arusha more modern than Talanta. Just 2 please.
 
Oil tankers will do docking there soon it will be the busiest port in Africa,,Asante Sana Dangote for trusting us,,,Sa hii nawacheka Sana walio Ita Lamu port a white elephant 🤣🤣🤣
Fuatilia moja ya sharti la dangote aliloliweka nigeria kule,hamna oil tanker itakuja hapo,acha uvivy nenda kagoogle,sharti kama lile ni kichaa tu atalikubali,nigeria yuko mahakamani huko
 
Back
Top Bottom