Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kabla mjenge kasarani tayari Tz ilikuwa na uwanja wa uhuru ambao ulijengwa mwaka 1961, tafuta taarifa kabla ya ku debate.
Uhuru ndio unataka ulinganishe na Kasarani? Wacha mchezo wee buana. Halafu hiyo 1961 hiyo Uhuru stadium ilikaa hivi. Uhuru level yake ni city stadium in Nairobi which was built in 1930. You're stupid. Wacha nikuache.
 
Tunapoongelea design jaribu kutafuta taarifa how modern stadia look like, achana na patriotism bro.
I am giving you facts. Ni wewe uko na blind patriotism. Nikuuliza unitajie feature moja yenye Arusha stadium iko nayo inayoifanya iwe more modern than Talanta hutoniambia. Mimi ukiniuliza features zinazoifanya Talanta iwe modern kuliko Samia nitakwambia. Kwa hivo kati yangu nawewe nani ana blind patriotism.
 
Uhuru ndio unataka ulinganishe na Kasarani? Wacha mchezo wee buana. Halafu hiyo 1961 hiyo Uhuru stadium ilikaa hivi. Uhuru level yake ni city stadium in Nairobi which was built in 1930. You're stupid. Wacha nikuache.
Wewe hata uki catch ma feeling haina shida najua wakenya mko hivyo, huwa hampendi ku debate kwa hoja bali matusi. Naomba uniwekee picha ya hiyo city stadium miaka hiyo jinsi ulivyokuwa na mm nikuwekee uhuru stadium miaka hiyo jinsi ulivyokuwa zen tuone upi ulikuwa unaonekana modern kuliko mwengine.
 
Wewe hata uki catch ma feeling haina shida najua wakenya mko hivyo, huwa hampendi ku debate kwa hoja bali matusi. Naomba uniwekee picha ya hiyo city stadium miaka hiyo jinsi ulivyokuwa na mm nikuwekee uhuru stadium miaka hiyo jinsi ulivyokuwa zen tuone upi ulikuwa unaonekana modern kuliko mwengine.
Feelings? 🤣 🤣
If I tell you you're stupid for saying stupid things, that's not feelings. That is facts. You're not not knowledgeable. I am sure hata internet umeijua juzi. That's why unaongea vitu vya kiujingaujinga. Your arguments have no facts. So you're stupid. That is a fact. Not feelings.
 
Feelings? 🤣 🤣
If I tell you you're stupid for saying stupid things, that's not feelings. That is facts. You're not not knowledgeable. I am sure hata internet umeijua juzi. That's why unaongea vitu vya kiujingaujinga. Your arguments have no facts. So you're stupid. That is a fact. Not feelings.
Umeona ss umehama kwenye mada umeingia kwenye matusi, simply umeshindwa hoja, kwaheri na pole kama nimekuudhi bro.
 
Hayo mafuta yenu sijui mtapeleka wapi maana Uganda atakuwa na refinery yake na sisi hapa Tz tunampango wa refinery yetu tuna supply Zambia na Malawi through a pipeline na it is easier ku supply Rwanda, Burundi and DRC from Uganda with a short pipeline.
Labda mpeleke Ethiopia na Somalia ndio regional option iliyopo kwa sasa na sidhani kama Uganda au Tanzania atajiunga na huo mradi kama pre-requisite ya Dangote Investment Plan inavyotaka.
Naona uko acceptance stage sasa.
 
What's the meaning of modern according to you? What makes Arusha more Modern than Talanta? Just mention 3 points please.
All stadium are given modern standards using a CAT, for example a stadium with CAT 1 is considered least and can only host intial preliminary matches, the highest standard we have is called CAT 4, meaning you can host all CAF matches, however we have CAT 4 gold, now this is level kama mkapa meaning you have all facilities, we are talking about 4K cameras for match streaming. We are talking of a stadium VAR and many more.

All features you want to mention such as running track are useless, we have alot of them here including chamazi, mwenge..
 
Jamaa anadhani modernity no shape ya stadium 😂😂
Yes inachangia because its a new design brought to life, the sufuria you have at ngong has been used since hitler days and brings nothing more to africa ecosystem, infact that ngong cow shed since begining we told you it has the worst grass, mkabisha, saahv ni mara ya 3 nyasi zinapandwa upya
 
I am giving you facts. Ni wewe uko na blind patriotism. Nikuuliza unitajie feature moja yenye Arusha stadium iko nayo inayoifanya iwe more modern than Talanta hutoniambia. Mimi ukiniuliza features zinazoifanya Talanta iwe modern kuliko Samia nitakwambia. Kwa hivo kati yangu nawewe nani ana blind patriotism.
Do you know how stadiums are rated?
 
Feelings? 🤣 🤣
If I tell you you're stupid for saying stupid things, that's not feelings. That is facts. You're not not knowledgeable. I am sure hata internet umeijua juzi. That's why unaongea vitu vya kiujingaujinga. Your arguments have no facts. So you're stupid. That is a fact. Not feelings.
Ebu tuone tena zile picha za talanta grass 🤣 , btw ulivokua unaongeza filter who was it for?
 
Back
Top Bottom