Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya is building a stadium in every county. What's your point?
Dah kaka mbn unaleta masihara kwenye mambo serious aisee, nazungumzia caf approved stadia sizungumzii hizo viwanja za counties mnazojenga sasa, hizo nyinyi mnajenga sasa huku kwetu vilijengwa enzi za Nyerere kaka, kila mkoa una kiwanja ambavyo vinaitwa CCM.
 
Dah kaka mbn unaleta masihara kwenye mambo serious aisee, nazungumzia caf approved stadia sizungumzii hizo viwanja za counties mnazojenga sasa, hizo nyinyi mnajenga sasa huku kwetu vilijengwa enzi za Nyerere kaka, kila mkoa una kiwanja ambavyo vinaitwa CCM.
Kwa hivo hizo zenu zishaakuwa approved? 🤣 🤣 Boss, kidogo nitaacha kukuengage maanake nilidhani wewe ni mtu unajielewa lakini naona kama uko ovyo sana.
 
Kwa hivo hizo zenu zishaakuwa approved? 🤣 🤣 Boss, kidogo nitaacha kukuengage maanake nilidhani wewe ni mtu unajielewa lakini naona kama uko ovyo sana.
Ss mbn tunabishana kitu ni ukweli mkuu, kwahiyo Mkapa sio caf approved stadium? Amaan je sio caf approved stadium? Je, mpk sasa Kenya ina viwanja vingapi ambavyo ni caf approved? Utasema hvyo vya counties ni approved? Sisi huku mpk cha Azam kinatumika kwa michuano ya caf, nyie imebidi timu zenu zitoke nje kwenda kucheza mechi za caf, hapo utasema niko biased au nasema ukweli bro.
 
Kwahiyo just because Kenya haijawahi kuwa na concord ndo kusema mkenya haruhusiwi kusema concord ni ndege ya kizamani, sioni mantiki hapa mkuu.
Some criticisms are only valid if you’re actually in a position to make them. You can’t mock someone for being short if you’re shorter than them. You can’t laugh at someone’s poverty when they’re richer than you. And you can’t call someone stupid when they’re clearly smarter than you.If I claimed Concorde is an old plane and boasted that Kenya has newer ones, I would need to show those planes and prove they are indeed more modern. Yet you dismiss Talanta as an old stadium while calling Arusha a “modern” one even though all available facts show Talanta is significantly more modern than Arusha - which is your most modern stadium.
Let's see what Kimi has to say about the two stadiums.
Screenshot 2026-07-08 184922.png
 
Ss mbn tunabishana kitu ni ukweli mkuu, kwahiyo Mkapa sio caf approved stadium? Amaan je sio caf approved stadium? Je, mpk sasa Kenya ina viwanja vingapi ambavyo ni caf approved? Utasema hvyo vya counties ni approved? Sisi huku mpk cha Azam kinatumika kwa michuano ya caf, nyie imebidi timu zenu zitoke nje kwenda kucheza mechi za caf, hapo utasema niko biased au nasema ukweli bro.
Tunaongelea viwanja vinavyojengwa upya wee boya. Mkapa imejengwa juzi? Si wewe mwenyewe umetaja Fumba, Arusha na Dodoma? Viwanja ambavyo bado vipo ujenzini?
 
Some criticisms are only valid if you’re actually in a position to make them. You can’t mock someone for being short if you’re shorter than them. You can’t laugh at someone’s poverty when they’re richer than you. And you can’t call someone stupid when they’re clearly smarter than you.If I claimed Concorde is an old plane and boasted that Kenya has newer ones, I would need to show those planes and prove they are indeed more modern. Yet you dismiss Talanta as an old stadium while calling Arusha a “modern” one even though all available facts show Talanta is significantly more modern than Arusha.
Let's see what Kimi has to say about the two stadiums.
View attachment 3625182
Hayo ni maoni ya mtu, hata mm naweza kui fix AI ikasema CCM kirumba stadium ni modern than Mercedes Benz stadium ya USA, modernity inaonekana kwa macho tu, uwanja unaweza kuwa na kila kitu lkn design yake ikawa sio modern, mm nazungumzia design ya uwanja kati ya talanta na Arusha bro, usiniwekelee vitu sijasema.
 
Some criticisms are only valid if you’re actually in a position to make them. You can’t mock someone for being short if you’re shorter than them. You can’t laugh at someone’s poverty when they’re richer than you. And you can’t call someone stupid when they’re clearly smarter than you.If I claimed Concorde is an old plane and boasted that Kenya has newer ones, I would need to show those planes and prove they are indeed more modern. Yet you dismiss Talanta as an old stadium while calling Arusha a “modern” one even though all available facts show Talanta is significantly more modern than Arusha - which is your most modern stadium.
Let's see what Kimi has to say about the two stadiums.
View attachment 3625182
Alafu kwenye issue ya viwanja ni sahihi mtz kumcheka mkenya mana ni kweli mtz alianza kuwa na uwanja modern kabla ya mkenya, correct me if I'm wrong.
 
Some criticisms are only valid if you’re actually in a position to make them. You can’t mock someone for being short if you’re shorter than them. You can’t laugh at someone’s poverty when they’re richer than you. And you can’t call someone stupid when they’re clearly smarter than you.If I claimed Concorde is an old plane and boasted that Kenya has newer ones, I would need to show those planes and prove they are indeed more modern. Yet you dismiss Talanta as an old stadium while calling Arusha a “modern” one even though all available facts show Talanta is significantly more modern than Arusha - which is your most modern stadium.
Let's see what Kimi has to say about the two stadiums.
View attachment 3625182
Inawezekana hujui what makes a stadium modern, a simple question, which year was the box design initialized?
 
Hayo ni maoni ya mtu, hata mm naweza kui fix AI ikasema CCM kirumba stadium ni modern than Mercedes Benz stadium ya USA, modernity inaonekana kwa macho tu, uwanja unaweza kuwa na kila kitu lkn design yake ikawa sio modern, mm nazungumzia design ya uwanja kati ya talanta na Arusha bro, usiniwekelee vitu sijasema.
Nimekuwekea hapo hadi na prompt yangu. I simply asked, which is more modern between arusha and talanta stadium.
It seems you do not understand the meaning of the word design. Design constitutes all those things mentioned in that post. When we talk about modern designs, we are talking about the new age features in the design. You can't call something modern just because it's a poor attempt at mimicking Mercedes Benz stadium when it doesn't have the modern features in it.

Alafu uwache kukana vitu vilivyo wazi. You ruin your credibility when you deny things that are open to everyone. Hapa wewe mwenyewe ukasema Arusha is more modern than Talanta, saahii unakana vitu vilivyo wazi.
Kaka talanta sio modern ila ni new stadium, viwanja vingi vya ki Africa vipo hivyo, modern stadium ziko mfano wa Arusha stadium.
 
Nimekuwekea hapo hadi na prompt yangu. I simply asked, which is more modern between arusha and talanta stadium.
It seems you do not understand the meaning of the word design. Design constitutes all those things mentioned in that post. When we talk about modern designs, we are talking about the new age features in the design. You can't call something modern just because it's a poor attempt at mimicking Mercedes Benz stadium when it doesn't have the modern features in it.

Alafu uwache kukana vitu vilivyo wazi. You ruin your credibility when you deny things that are open to everyone. Hapa wewe mwenyewe ukasema Arusha is more modern than Talanta, saahii unakana vitu vilivyo wazi.
Tunapoongelea design jaribu kutafuta taarifa how modern stadia look like, achana na patriotism bro.
 
Mm sijakataa talanta ni uwanja mzr ila concern yng ni design ya kizamani, nchi nyingi za Africa zina viwanja vya design hiyo, modern stadia siku hz zinajengwa kama unavyoona Arusha stadium, hiyo iko wazi. Nafikiri sasa tuachane na hii debate tuendelee na mambo mengine.
 
Back
Top Bottom