Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 560
- 934
Dah kaka mbn unaleta masihara kwenye mambo serious aisee, nazungumzia caf approved stadia sizungumzii hizo viwanja za counties mnazojenga sasa, hizo nyinyi mnajenga sasa huku kwetu vilijengwa enzi za Nyerere kaka, kila mkoa una kiwanja ambavyo vinaitwa CCM.Kenya is building a stadium in every county. What's your point?