With the pace of football itajengwa tu, na pia ukizingatia timu zenyewe zinazocheza CAF Ni 4 saahv we need more stadiums hizi hazitoshi, kule 17 wacheze baadae wanawake nao wacheze, ije ligi, ije cecafa ije CAF
Kwa mfnao moroco wana viwanja 8 vyeti cheti cha CAT4, we only have 2 na hata ivi vipya arusha na dodoma na fumba tunakua navyo 5 tu, while moroco has 8 alone and they are even hosting the world cup
Infact tungekua navyo 5 mapema basi AFCON nzima ingepigika tz peke yake, unaona kuna yale mashindano ya All African Games tumeweka Bid basi inachezwa yote bongo viwanja vikiwa vingi