Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana unaona Mr Loot-all nae anapambana sana apige mpunga,
alijaribu kuleta mhindi mmoja anaitwa Adan pale uwanja wa ndege akapigwa vita hajawahi ona,
Kwa sasa Mr Loot-all , au mtukufu Lies (kama wanavyomwita wakenya) is ranked as the top corrupt president in the world.
walimlipa mbna pesa ya kutosha hakuondoka kinyonge
 
nliskia mlitumia $1.2B for the skybox 😂 😂 kwahio wageni mlisema wataruka ruka kuangalia mechi au sio 😂
View attachment 3624679
Hapana Nyamwezi, watasimama ndani ya skybox 🤣 🤣
images - 2026-04-20T181301.401.jpeg
 
Middle income, na per capita ya $1200 hahah, anyway;
Nikupe mfano, angalia magari yanayoendeshwa kwenye mitaa yetu bora kabisa kama Kibaki road halafu compare na yanayoendeshwa Sandton, kama umewahi fika,
Hapa sitaki kutaja mitaa ya Kenya sababu huko hali ni mbaya zaidi, CBD ya Nairobi kuna malori yanasafirisha abiria kama PSVs this 2026, awkward.
back to the topic,
Ngoja nikupe facts,
What is 6% or let’s say 10% kwenye uchumi wa $85b na watu million 70?
Hii si pesa ya Mapato ya Facebook kwa Mwaka.
Nchi Kama Tanzania ambapo mji wetu bora kabisa , Dar es Salaam , umejaa hawkers kila pahala, uende kariakoo, manzese, Coco Beach, Mbezi Luis, Bunju, Mbagala, Mwenge na kila pahala,
This alone will tell you we have a long way to go,
Nchi haina opportunities sababu ya viongozi visionless kama mama.
Miji yote sasa hivi imejaa bajaji na bodaboda kama uchafu,
Ni rahisi sana kung’amua kuwa huwezi kuendesha uchumi wa watu millioni 70 bila vibrant manufacturing sector, Mama hawezi elewa hili ndio maana mambo ya maandamano hayatakoma hadi nchi ikae Sawa, vijana wapewe shughuli za kujikwamua kiuchumi.

Then Mimi sio maskini, I have enough for myself and my family, the difference Kati yangu na wengine maybe ukiwemo is that I earn my clean money with dignity, I pay Taxi and I don’t bootlick any silly politician for favors, like many of you.
Mimi Toka wameua vijana mwaka Jana sinaga time na kuchangia huu Uzi
.acha wakenya washinde tu na maendeleo Yao.

Siwezi kuchangia na kujitapa maendeleo ya Tz huku Mtu anaua watu zaidi ya 1000 na anaabudiwa as if nothing happened.


I will come back. Siku akitoka na kuwajibika kwa aliyoyafanya.


Mwakani nawaombea Kenya uchaguzi mwema. Maana Madaraka yanawafanya baadhi ya waafrica kuwa wanyama kabisa.
Jambo la msingi ni kulinda uhai wako. Wakenya wala msiwacheke Watz. Kwenye uchaguzi wa kiafrica anything can happen hata kama mna katiba ya namna Gani.


We still have long way to go as Africans.
And I support you. Maandamano hayataishaga kama bodaboda na hawking ndo main job opportunity kwenye nchi
 
Mimi Toka wameua vijana mwaka Jana sinaga time na kuchangia huu Uzi
.acha wakenya washinde tu na maendeleo Yao.

Siwezi kuchangia na kujitapa maendeleo ya Tz huku Mtu anaua watu zaidi ya 1000 na anaabudiwa as if nothing happened.


I will come back. Siku akitoka na kuwajibika kwa aliyoyafanya.


Mwakani nawaombea Kenya uchaguzi mwema. Maana Madaraka yanawafanya baadhi ya waafrica kuwa wanyama kabisa.
Jambo la msingi ni kulinda uhai wako. Wakenya wala msiwacheke Watz. Kwenye uchaguzi wa kiafrica anything can happen hata kama mna katiba ya namna Gani.


We still have long way to go as Africans.
And I support you. Maandamano hayataishaga kama bodaboda na hawking ndo main job opportunity kwenye nchi
Ipo sku utaelewa kwann Mwizi hua anapigwa vibaya, saaahv bado hujakua infact sehem zingine ni kuchoma tu, hujui uchungu wa watu waliopoteza biashara zao
 
Yes mate, after renovating the capacity increased, ni vile we don’t brag of small things like idadi ya viti. Childish
The only kind of renovation that could have increased seat numbers ni kama kungekua na ujenzi fulani mpya ndani ya huo uwanja kuongeza capacity which never happened. How was this space for extra seats created?
 
Hizi ni ndoto! Pesa Ndege sana hiyo!
With the pace of football itajengwa tu, na pia ukizingatia timu zenyewe zinazocheza CAF Ni 4 saahv we need more stadiums hizi hazitoshi, kule 17 wacheze baadae wanawake nao wacheze, ije ligi, ije cecafa ije CAF


Kwa mfnao moroco wana viwanja 8 vyeti cheti cha CAT4, we only have 2 na hata ivi vipya arusha na dodoma na fumba tunakua navyo 5 tu, while moroco has 8 alone and they are even hosting the world cup

Infact tungekua navyo 5 mapema basi AFCON nzima ingepigika tz peke yake, unaona kuna yale mashindano ya All African Games tumeweka Bid basi inachezwa yote bongo viwanja vikiwa vingi
 
The only kind of renovation that could have increased seat numbers ni kama kungekua na ujenzi fulani mpya ndani ya huo uwanja kuongeza capacity which never happened. How was this space for extra seats created?
but we arent done, so apa tunapiga vp mbugi 😂
1783456934800.png
 
na kesi walipeleka kortini ila bado mzee alishinda
Ukoo wa Kenyata ndio unaomiliki Kenya, Imagine the grandpa’s land grabbing legacy outplays the living in such statutory lawsuits haha, Familia ya Kwnyata ndio miongoni mwa Familia tajiri zaidi Africa.
Kwani unadhani nchi inaitwa kwa jina lake kwa Bahati mbaya , Kenya ni shamba la Kenyata ,
Ndio maana Tangu nchi imepata uhuru wa mchongo (Kenya bado ni koloni la Mwingereza, na marakani),
Nchi inaongozwa na makabila Mawili tu,
Gikuyu and Kalenjini. Huwezi kuwa rais kenya kama sio Mkikuyu au Mkalenjini.
Haya makabila mengine wakiwemo those silly Luos ni wapiga kelele na maandamano
 
The only kind of renovation that could have increased seat numbers ni kama kungekua na ujenzi fulani mpya ndani ya huo uwanja kuongeza capacity which never happened. How was this space for extra seats created?
do you know the pain of watching a match ukiwa unaruka ruka 😂
1783456970665.png
 
Back
Top Bottom