Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana nasemanga wewe huleta links hapa bila hata kusoma content ujue inasema nini. Just shows your level of desperation!

Hii list yako ya Wikipedia has three Kenyan buildings listed before any building in Tanganyika. The first building from Tanganyika on the list is PPF house (160m) at position 25.

Nairobi has Britam Tower (200m) at position 12, GTC office tower (184m) at position 14, and UAP Old Mutual tower (163m) at position 23.

Heri unyamazange tu!
 
Kwa wale wanaouliza kuhusu gorofa kujengwa Dasilinga. Majibu hayo haya hapo. This one is 29 floors coming up at Upanga
1.
IMG_6877.jpeg
IMG_6868.jpeg
 
Hivi nyie wakenya mbafikiri Dar hakuna majengo mapya yanayojengwa? Watu hawana muda tu wa kupiga picha hayo majengo.
Huenda hampigi picha which is understandable...but does it mean haziko pia kwenye news or even forums?
 
Lucky to border Kenya . Hata roofing style si ya kitanzania … don’t be surprised some of those homes belong to Kenyans who cross the border for cheaper lifestyle like Americans do in San Diego by residing across the border in Tijuana ( living a dream of working for dollars and spending in pesos ). Imagine making Kenyan shillings but living in Arusha . You would be the king of your neighborhood..🤪🤪
Wewe umechelewa kuja mjini.
 
Si umesoma.? Tafuta hiyo project uulizie iko aje.. au shule yako haikusaidii kitu.? 😂😂😂 stupid. Au umeumia kujua kama wanyabi tunakimbiza mwizi kimya kimya.?
Nimehesabu floors.
Wewe hesabu, then report back hapa ni ngapi. 😂
 
Lucky to border Kenya . Hata roofing style si ya kitanzania … don’t be surprised some of those homes belong to Kenyans who cross the border for cheaper lifestyle like Americans do in San Diego by residing across the border in Tijuana ( living a dream of working for dollars and spending in pesos ). Imagine making Kenyan shillings but living in Arusha . You would be the king of your neighborhood..🤪🤪
Bongolalas should be very grateful to Kenyans.
We contribute a lot especially to the economies of Arusha and Zanzibar.

Kenya is Zanzibar's biggest source of African tourists.

I know the owners of that TikTok-famous "I ❤️‍ Namanga" club.
It's on the Tz side, but owned by Kenyans.
Same thing is happening in Arusha.

Meanwhile, their contribution to our economy is a steady stream of omba ombas.


View: https://www.instagram.com/p/DOZGDY0CJqR/
 
New project coming up at Oyster bey View attachment 3621538hii nayo inakuja hapo masaki. 👇🏾View attachment 3621539and thisView attachment 3621542and thisView attachment 3621543and this View attachment 3621549and this View attachment 3621551and this View attachment 3621553and many more.. zimgine mkiulizia nitapost humu ..

Pinch yourself and double-check, whether you want to go through this 7-15 floor battle.
Is this a war you want to fight with Nairobi?
Is there really need for more bloodshed? 😂😂
 
Hili zuzu vipi.? 😂😂😂 just dowload the photo and put it to your google lens, they will tell you the details. Stupid.
Wajinga waliisha 😂
Tunakumbuka venye mlidanganya mpaka Google, sijui ghorofa gani ni 40 floors, kumbe ukifika kwa ground unapata 36 floors. NairobiWalker alijionea mwenyewe 😂😂

Press office ya Sir. Mia - ambayo ni media zote bongolala - lazima waongeze floor kadhaa juu 😂😂😂

Hio building is around 22 floors. That's your crown jewel.
Nairobi nikitupa jiwe anywhere, nitagonga jumba la over 22 floors under construction. 😂
floo.jpg
 
Back
Top Bottom