Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,666
- 107,105
Hehehe, Kumbe mnamezea mate Kenyan infrastructure nanmnajifanya hapa eti ni poor quality.😂😂View attachment 3618101
Watanzania wenzangu kweli kabisa maengineer wetu wameshindwa kudesigne cloverleaf kama hii pale jangwani au ni upigaji tu,jangwani pale si pale kujenga daraja kama lile,lile daraja kuwepo sehemu kama ile 2026 ni aibu
Miradi ipo mingi mkuu, cha muhimu bidhaa za zingine znaendelea kupita dar na hata ivo tuna ushirikiano mkubwa nao kwenye biashara zingine ikiwemo umeme an sgr, for rwanda kpl itawasaidia kupunguza gharama za mafuta, watasafiri umbali mfupi kuyapata which it makes sense, however hio kenya pipeline ishauzwa mda mrefu no mali ya m7Nakumbuka kipondi cha Kikwete kulikuwa na mradi wa pipeline kwenda Mwanza kampuni ya Canada ghafla mwanamama wa kiarabu Noor Oil of Qatar in 2006 akaunyakua! The rest is history!
Ohk mbona wanatuchanganya hawa? Au visit ya Dangote Dar J2 imewachanganya?
View: https://www.instagram.com/p/DaKWrsQCNIb/?igsh=MXIzOHJxYnFiaXB6cQ==
View: https://x.com/MAbdallaziz/status/2071640448763138150?s=20
View: https://x.com/ntvkenya/status/2071672860133728590?s=20
So hiyo ipo kenya tu!uganda hawana?maku interchange ya imeanza kutengenezwa miaka ya 1920 huko,unavyoongea kama kunyan ndio pioneer wa interchange duniani 🖕Hehehe, Kumbe mnamezea mate Kenyan infrastructure nanmnajifanya hapa eti ni poor quality.😂😂
Inabidi Samia acheze karata zake right atafute funds za Isaka-Uganda border kum-convince M7 abadili mawazo!
Ohk mbona wanatuchanganya hawa? Au visit ya Dangote Dar J2 imewachanganya?
View: https://www.instagram.com/p/DaKWrsQCNIb/?igsh=MXIzOHJxYnFiaXB6cQ==
View: https://x.com/MAbdallaziz/status/2071640448763138150?s=20
View: https://x.com/ntvkenya/status/2071672860133728590?s=20
Hilo ni kama kumsukuma mlevi au kupiga punda teke kwenye mteremko maana hakuna funder atakaye finance kipande cha Kenyan SGR wakati kuna efficient rival rail nearby hahutaji kuwa rocket scientist kujua hilo ndio maana mpaka leo mchina kagoma halafu hawawezi wakapata funder mwingine nje ya china kwasababu financing mechanism waliyoitumia haiko poa imelalia kwa wachina sana hivyo ni risk kwa funders wengine kuweka hela except wachina tuu.Inabidi Samia acheze karata zake right atafute funds za Isaka-Uganda border kum-convince M7 abadili mawazo!