Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So nmeifuatilia and here is what am told:


So here is how the new deal will be, Oman sends refined oil to MOmbasa and then Mombasa pumps it Via Pipeline ambayo inaishia around Eldoret, so mean Rwanda watakua wanaenda kuchukulia Eldoret which cuts the journey time ya zile trucks instead ya kwenda staright mpaka dar, watakua wanachukulia border pale karibu na Uganda(Which is pretty ok as it saves cost kuliko kusafiri from kigali upite kigoma straight mpaka dar by truck)

To rwanda side its a good deal and there is no need to feel bad about them, However remember Kenya pipeline is owned by Uganda so its basically Uganda profits
Nicxie uwe unasoma na kuelewa
 
Nilichogungua ni kwamba minyamwezi hawaelewi kinachoendelea hapa
G 2 G agreement ilikuwepo na bado Kenya walikuwa wanapitisha mafuta kidogo tuu ya Rwanda sasa kinachokuaminisha kwamba Rwanda watahamishia 70% ya mafuta yao kupitia kenya ni nini?
 
Hilo ni kama kumsukuma mlevi au kupiga punda teke kwenye mteremko maana hakuna funder atakaye finance kipande cha Kenyan SGR wakati kuna efficient rival rail nearby hahutaji kuwa rocket scientist kujua hilo ndio maana mpaka leo mchina kagoma halafu hawawezi wakapata funder mwingine nje ya china kwasababu financing mechanism waliyoitumia haiko poa imelalia kwa wachina sana hivyo ni risk kwa funders wengine kuweka hela except wachina tuu.
sgr ya uganda and tanzania will connect together, pia uganda and congo will have to connect together also kwa ajili ya kurefine madini ya congo!

so it goes this way, Congo sends it to uganda for refinery and uganda moves it to tanzania final product. Hata ivo passengers from Uganda can travel one way to dar because zote ni electric, also goods will be the same, wafanya biashara wa uganda watachagua wenyewe wap wanapata bei nzuri
 
the city under vumbi
1782811584096.png
 
So nmeifuatilia and here is what am told:


So here is how the new deal will be, Oman sends refined oil to MOmbasa and then Mombasa pumps it Via Pipeline ambayo inaishia around Eldoret, so mean Rwanda watakua wanaenda kuchukulia Eldoret which cuts the journey time ya zile trucks instead ya kwenda staright mpaka dar, watakua wanachukulia border pale karibu na Uganda(Which is pretty ok as it saves cost kuliko kusafiri from kigali upite kigoma straight mpaka dar by truck)

To rwanda side its a good deal and there is no need to feel bad about them, However remember Kenya pipeline is owned by Uganda so its basically Uganda profits
Most fuel imports for Rwanda and Burundi siku hizi hazipiti Dar zinapita Tanga.
 
Most fuel for Rwanda and Burundi siku hizi hazipiti Dar zinapita Tanga.
Wanapitisha dar, amna sku sjaona plate number za rwanda town, hata ivo sio issue sana as for rwanda wanapata cheap option, no need kua harsh on them, the deal is ok and projects za kufanya zipo nyingi tu
 
sgr ya uganda and tanzania will connect together, pia uganda and congo will have to connect together also kwa ajili ya kurefine madini ya congo!

so it goes this way, Congo sends it to uganda for refinery and uganda moves it to tanzania final product. Hata ivo passengers from Uganda can travel one way to dar because zote ni electric, also goods will be the same, wafanya biashara wa uganda watachagua wenyewe wap wanapata bei nzuri
I think kati ya Keza au Musongati kutakuwa na marshalling yard kubwa sana hapa Afrika kwa mizigo ya DRC, Burundi, Rwanda, Uganda and Zambia
 
Nilichogungua ni kwamba minyamwezi hawaelewi kinachoendelea hapa
Rwanda ametoka kwenye kivuli cha G2G cha Kenya na kuanzisha G2G yake mwenyewe na Oman kama Uganda alivyojitoa. Kenya's part comes in the use of Mombasa port only; as for the pipeline owner wake ni Uganda. Hata hivyo, wakati Rwanda yuko under the shadow of Kenya's G2G deal, bado mafuta yake machache yalikuwa yanapitia Kenya pia, so hatutegemei any change hiyo ni publicity stunt tuu.
 
Rwanda ametoka kwenye kivuli cha G2G cha Kenya na kuanzisha G2G yake mwenyewe na Oman kama Uganda alivyojitoa. Kenya's part comes in the use of Mombasa port only; as for the pipeline owner wake ni Uganda. Hata hivyo, wakati Rwanda yuko under the shadow of Kenya's G2G deal, bado mafuta yake machache yalikuwa yanapitia Kenya pia, so hatutegemei any change hiyo ni publicity stunt tuu.
Dont worry too much about it, Uganda is buildings its own refinery and Dangote is in tanzania as we speak!
 
G 2 G agreement ilikuwepo na bado Kenya walikuwa wanapitisha mafuta kidogo tuu ya Rwanda sasa kinachokuaminisha kwamba Rwanda watahamishia 70% ya mafuta yao kupitia kenya ni nini?
Guys kwanini mnaipigia chapuo G 2 G Agreement. Hiyo model inafaa sana for short term. Bulk Procurement System (BPS) is the long term model na inakubalika kimataifa.


Kwanini Kenya na Rwanda wanafanya G 2 G ni kwasababu ya Financial problem ya upatikanaji wa dollar inayo wkabili. Dollars zote zinazopatikana Kenya zinalipwa kwenye madeni makubwa waliyoyaingia. So G 2 G Agreement inawasaidia kupata mafuta ya mkopo, kwamba wanaweza kuja kulipa baadae.

G 2 G is expensive maana hakuna ushindani, but BPS inakuwa ni soko huria, tenda inatolewa na wazalishaji wanashindania.

Kumbuka kwenye BPS Tanzania inanunua mafuta ya ndani na transit (DRC, Malawi, Rwanda, Burundi, Zambia and Uganda)
 
I think kati ya Keza au Musongati kutakuwa na marshalling yard kubwa sana hapa Afrika kwa mizigo ya DRC, Burundi, Rwanda, Uganda and Zambia

Bandari kavu kubwa itajengwa Misungwi Mwanza. Fela dry port approximately 45 hectors. Hii Iko chini ya TPA, pia Katosho Kigoma wame propose pale.
 
Rwanda ametoka kwenye kivuli cha G2G cha Kenya na kuanzisha G2G yake mwenyewe na Oman kama Uganda alivyojitoa. Kenya's part comes in the use of Mombasa port only; as for the pipeline owner wake ni Uganda. Hata hivyo, wakati Rwanda yuko under the shadow of Kenya's G2G deal, bado mafuta yake machache yalikuwa yanapitia Kenya pia, so hatutegemei any change hiyo ni publicity stunt tuu.
Wewe unaelewa kinachoendelea
 
I think kati ya Keza au Musongati kutakuwa na marshalling yard kubwa sana hapa Afrika kwa mizigo ya DRC, Burundi, Rwanda, Uganda and Zambia
Kalemie to kigoma ni kama miles 80 hivi,serikali ingetafuta muwekezaji akatengeneza roro ship ya kuingiza lori kama 20 tu kwa trip,ingekua bab kubwa sana
 
Back
Top Bottom