concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,993
- 15,447
Last mile connections gani unazozungumzia ebu taja hata district moja Tanzania ambayo haiko connected to the national grid ?Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?
Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.
How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂
Tanzania hakuna hiki kitu sasa hivi ndugu ,umeme unakufuata mpaka kijijini kwenu.
Ukisema hakuna last mile connectivity, hivi unajua Tanzania ndo inaongoza kwa 74 in rural electrification kwa east africa.nyinyo electrification yenu mnahesabu Nairobi na central Kenya.
Imagine situation ya 91% ya wakazi hawana umeme ? Hapa inamaanisha huo uwezo hata kusafirisha hakuna ila mnatengeneza habari kujifurahisha