Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini tuhitaji kuwa na manyaya mengi wakati tunaweza safirisha kwa high voltage kubwa kuliko imagine 400kv Tanzania ni 1500+ km versus kenya 1020View attachment 3611419

Ebu angalia network ya Tanzania ilivyo comprise na hapo ni 100% government owned wakat Kenya 37% ya grid transmission ndo Iko chini ya serikali.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 3611420
Yaan Kenya inamilikiwa na corporates kwa kweli , unajisifia distribution network ambayo serikali haimiliki hata 3000km 🤣🤣🤣🤣

Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?

Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.

How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂
 
Kumbe nyinyi stupid ukiwa na mtandao wa high voltage mkubwa utahitaji km ndogo na low na medium voltage.
Mfano 400kv kwa Tanzania inatokea jhhp kupitia central Tanzania to mwanza and kigoma , kwa point hiyo utahitaji vituo vichache vya kupozea na transformer kubwa kwa ajili ya distribution network . Ndo maana nyinyi mna km nyingi sana za 66kv kuliko Tanzania sababu inawabidi na mnezicategorize kama distribution network .
Mind you a 400 kv transmission line Inaweza transport mpaka umeme wa 1500mw ikiwa single circuit na ikiwa double Inaweza fikia 3000( sababu kuna another dam (. From Dodoma to tabora kuna double ( sababu ya mtera dam) circuit ikiwa na maana network Inaweza beba mpaka 3000 mw same kwenye distribution networks ambayo nayo Iko applicable kwa Tanzania.

Nyinyi mnahitaji km nyingi sababu nyinyi vijiji vyenu viko mbali mbali hivyo mnahitaji nyaya nyingi kusafirisha umeme wakati Tanzania distance mji na ni karibu sana.
Bongolala: The first country on earth ambapo watu wanaendea umeme kwa highway.
The aliens are coming to study how you did it.
Hawahitaji last mile connections, which explains why their numbers are so low.
 
Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?

Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.

How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂
Last mile connections gani unazozungumzia ebu taja hata district moja Tanzania ambayo haiko connected to the national grid ?
Screenshot_20260620-124544~2.jpg

Tanzania hakuna hiki kitu sasa hivi ndugu ,umeme unakufuata mpaka kijijini kwenu.
Ukisema hakuna last mile connectivity, hivi unajua Tanzania ndo inaongoza kwa 74 in rural electrification kwa east africa.nyinyo electrification yenu mnahesabu Nairobi na central Kenya.
Imagine situation ya 91% ya wakazi hawana umeme ? Hapa inamaanisha huo uwezo hata kusafirisha hakuna ila mnatengeneza habari kujifurahisha
 
Bongolala: The first country on earth ambapo watu wanaendea umeme kwa highway.

The aliens are coming to study how you did it.
Hawahitaji last mile connections, which explains why their numbers are so low.
Ndo maana unaambiwa wewe ni mjinga , umeme ukipitia katikati ya nchi Ina maana utakuwa na vituo vichache vya kupozea umeme na km chache za kusafirisha umeme.
Badala ya kuhitaji network mbili za kv 220 kusafirisha umeme na kuwa na vituo viwili vya kupokea utakuwa na network moja ya kv 400 na kituo kimoja Cha kupozea , na Tanzania umeme unapitia kwa barabara theni wewe ndo unavuta kwenda nyumbani kwako kutoka kwa low voltage network.
Point ilikuwa hatuna uwezo wa last connectivity , sasa inakuwaje Tanzania ndio inaongoza kwa rural electrification kwa nchi za east Africa huo umeme unafikaje . 98% ya viji vya Tanzania viko na connectivity, je huo umeme umefikaje?🤣🤣🤣🤣
Kumbuka umeme wa vijijini ni low voltage
 
Last mile connections gani unazozungumzia ebu taja hata district moja Tanzania ambayo haiko connected to the national grid ? View attachment 3611632
Tanzania hakuna hiki kitu sasa hivi ndugu ,umeme unakufuata mpaka kijijini kwenu.
Ukisema hakuna last mile connectivity, hivi unajua Tanzania ndo inaongoza kwa 74 in rural electrification kwa east africa.nyinyo electrification yenu mnahesabu Nairobi na central Kenya.
Imagine situation ya 91% ya wakazi hawana umeme ? Hapa inamaanisha huo uwezo hata kusafirisha hakuna ila mnatengeneza habari kujifurahisha
Watu wa data fake!
 
Bongolala: The first country on earth ambapo watu wanaendea umeme kwa highway.
The aliens are coming to study how you did it.
Hawahitaji last mile connections, which explains why their numbers are so low.


Imagine hiii ilikuwa 2020
Ambapo rural electrification ilikuwa 70% haya Leo tuko na ngapi🤣🤣🤣🤣


Febuary, 18/2020

The high perfomance of President John Magufuli in developmental projects has made Tanzania to scoop the first position in the continent in rural electrification, Africa’s Power Journal (ESI AFRICA) has published.

According to ESI AFRICA – Africa’s leading power and energy journal, Nigeria was the leading country by 72%, but Tanzania has now taken the lead in the continent by reaching more than 74% rural electrification.

The ESI AFRICA states that total of 9,001 villages in the country have been connected; of these 3,559 villages were connected through the first round of Phase Three Rural Electrification Project (REA III-1), which is ongoing.
 
Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?

Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.

How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂
Which one is easy to connect between these 2?
1781950347014.png


1781950420189.png
 
Imagine hiii ilikuwa 2020
Ambapo rural electrification ilikuwa 70% haya Leo tuko na ngapi🤣🤣🤣🤣


Febuary, 18/2020

The high perfomance of President John Magufuli in developmental projects has made Tanzania to scoop the first position in the continent in rural electrification, Africa’s Power Journal (ESI AFRICA) has published.

According to ESI AFRICA – Africa’s leading power and energy journal, Nigeria was the leading country by 72%, but Tanzania has now taken the lead in the continent by reaching more than 74% rural electrification.

The ESI AFRICA states that total of 9,001 villages in the country have been connected; of these 3,559 villages were connected through the first round of Phase Three Rural Electrification Project (REA III-1), which is ongoing.
Ghai bongo logic mazee..
This is the same as saying Kenya beat south Africa and UK in new rural connections which is a fact and feeling very accomplished.
 
Ghai bongo logic mazee..
This is the same as saying Kenya beat south Africa and UK in new rural connections which is a fact and feeling very accomplished.
Elewa maana ya rural electrification, hapa wanamaanisha upatikanaji wa umeme vijijini Tanzania leads in that sector , vijiji vyote umeme unapatikana imebakia ni Kila mtu aweze jiunganishia.
Kenya bado kuna majority ya vijiji havina access ya umeme
 
Ghai bongo logic mazee..
This is the same as saying Kenya beat south Africa and UK in new rural connections which is a fact and feeling very accomplished.
Issue ni kuwa Tanzania 98% of all villages ziko na access ya umeme Mimi naweza kukutajia list zaid ya 50 au 25% ya villages za Kenya zisizo umeme ila Tanzania of all villages ni 2% tu ndo hakuna🤣🤣🤣🤣
Hapa tunamaanisha kuna vijiji Kenya hata mlingoti wa umeme haupatikaniki kupitia barabaraani
 
Issue ni kuwa Tanzania 98% of all villages ziko na access ya umeme Mimi naweza kukutajia list zaid ya 50 au 25% ya villages za Kenya zisizo umeme ila Tanzania of all villages ni 2% tu ndo hakuna🤣🤣🤣🤣
Hapa tunamaanisha kuna vijiji Kenya hata mlingoti wa umeme haupatikaniki kupitia barabaraani
Elewa maana ya rural electrification, hapa wanamaanisha upatikanaji wa umeme vijijini Tanzania leads in that sector , vijiji vyote umeme unapatikana imebakia ni Kila mtu aweze jiunganishia.
Kenya bado kuna majority ya vijiji havina access ya umeme
Mbona tuandike kwa mate na wino ipo?
IMG_20260620_150408.jpg


Vs
IMG_20260620_150303.jpg
 
Back
Top Bottom