kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 5,189
- 5,240
Kwanini tuhitaji kuwa na manyaya mengi wakati tunaweza safirisha kwa high voltage kubwa kuliko imagine 400kv Tanzania ni 1500+ km versus kenya 1020View attachment 3611419
Ebu angalia network ya Tanzania ilivyo comprise na hapo ni 100% government owned wakat Kenya 37% ya grid transmission ndo Iko chini ya serikali.
🤣🤣🤣🤣
View attachment 3611420
Yaan Kenya inamilikiwa na corporates kwa kweli , unajisifia distribution network ambayo serikali haimiliki hata 3000km 🤣🤣🤣🤣
Connections is another measure of economic prosperity ndugu.
Mbona unajivunia 70% ya wananchi wenzako kuendelea kutumia candle, makaa na mafuta taa?
Because hamjafanya last mile connections, you have nowhere to take your excess power, other than sell it to Kenya.
Ata hizo high voltage lines utapata zinasafirisha Kenya.
How is it possible that a country twice our size has half our electricity connections?
It's like if Switzerland and Belarus were neighbors. 😂