Tuje kwa kahawa,
Kenya nambari tatu baada ya
Ethiopia na
Uganda...kish namsikia mjinga flani akijaribu kufananisha agriculture Kenya na Bongo..ndugu tafta kazi..yaani mpaka Buhari, Rais wa Nigeria na Cyril Ramaphosa, naibu rais wa Afrika Kusini wanatambua kuwa Kenya ni hatareee kwa kilimo cha cash crops...
huyu hapa Buhari akiwa Kenya kujifunza kilimo cha maziwa
Ramaphosa promises to turn around ANC, praises Kenya model
He said South Africa has a lot to learn from Kenya, especially in agriculture sector, which is well developed.