Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unapomwita Rais Samia kuwa yeye siyo genius, hajasoma, hana IQ kubwa lengo lako ni nini? Lengo lako ni kushusha hadhi yake na kudhalilisha Taifa la Tanzania.
Hakuna mahala nimesema hajasoma. Amesoma na alifeli mfululizo na amekiri publicly. IQ kubwa unatoa wapi ikiwa umefeli primary na kutoka na zero 4 na 6?

Hapo anadhalilishwa vipi kusema uwezo wake darasani ulikuwa mdogo?
Kwahio unataka tufumbe macho na kuendelea kumpachika maPhD ili aonekane ana akili sana? 😂

Kwenye lile swali dogo tu ndipo IQ yake ilikuwa tested.
"Swali:
How are you going to circumvent or bypass sanctions?

Hapo ndipo alitakiwa kuthibitisha kuwa yuko vyema upstairs. How unajibu swali bila ku-divulge sensitive information?

Nikupe mfano:
Yesu aliulizwa kimtego na wanashearia ili kumtega na kumpa kesi dhidi utawala wa kipindi hicho.

Wanasheria:
"Mwalimu (Yesu) tunajua wewe husema kweli bila kujali cheo cha mtu, tuambie ni haki kulipa kodi kwa Kaisari?"

Yesu: "Dinari ina chapa ya nani?
Wanasheria: "Kaisari"
Yesu: "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari."

Jamii kipindi kile inatambua si sahihi kulipa kodi kwa Kaisari na wanasheria walimjia kwenye kadamnasi wakijua angejibu ndio ama hapana wakijua akijibu ndio watu watamkimbia na akijibu hapana ana kazi na Kaisari.

Aina hii ya swali alikumbana nayo Kwame Nkuruma alipoulizwa "Which direction is Africa facing, East or West?"

Kwame Nkurumah: "We face neither East nor West; we face forward”

Mama yetu kaulizwa swali dogo tu, katoa matamshi kama mpika chai sokoni🚮
 
Hakuna mahala nimesema hajasoma. Amesoma na alifeli mfululizo na amekiri publicly. IQ kubwa unatoa wapi ikiwa umefeli primary na kutoka na zero 4 na 6?

Hapo anadhalilishwa vipi kusema uwezo wake darasani ulikuwa mdogo?
Kwahio unataka tufumbe macho na kuendelea kumpachika maPhD ili aonekane ana akili sana? 😂

Kwenye lile swali dogo tu ndipo IQ yake ilikuwa tested.
"Swali:
How are you going to circumvent or bypass sanctions?

Hapo ndipo alitakiwa kuthibitisha kuwa yuko vyema upstairs. How unajibu swali bila ku-divulge sensitive information?

Nikupe mfano:
Yesu aliulizwa kimtego na wanashearia ili kumtega na kumpa kesi dhidi utawala wa kipindi hicho.

Wanasheria:
"Mwalimu (Yesu) tunajua wewe husema kweli bila kujali cheo cha mtu, tuambie ni haki kulipa kodi kwa Kaisari?"

Yesu: "Dinari ina chapa ya nani?
Wanasheria: "Kaisari"
Yesu: "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari."

Jamii kipindi kile inatambua si sahihi kulipa kodi kwa Kaisari na wanasheria walimjia kwenye kadamnasi wakijua angejibu ndio ama hapana wakijua akijibu ndio watu watamkimbia na akijibu hapana ana kazi na Kaisari.

Aina hii ya swali alikumbana nayo Kwame Nkuruma alipoulizwa "Which direction is Africa facing, East or West?"

Kwame Nkurumah: "We face neither East nor West; we face forward”

Mama yetu kaulizwa swali dogo tu, kajibu kama mpika chai sokoni🚮
Kaka endelea tu kukaa huko ulaya. Mawazo yako hatuyataki. Huna impact wala faida yoyote katika taifa letu.
Tunawajua nyie mnaokaa huko ulaya ajenda yenu, mlete vurugu Tanzania ili muwe wakimbizi mpate uraia wa huko Ulaya.

Wala hutusumbui, Watanzania wote wanawajua
 
Did Mama samia write that headline?
Wilson Airport Nairbi handles 150 flights per day.

That would make our small domestic airport BUSIER than Dar and Arusha airports combined.
Hizo sio flights za kwenda kibera Buda hapo inazungumziwa international flights, ebu taja international airlines yoyote inayopiga trip kutokea wilson
 
Nimesema siishi Tanzania, ninaishi nilipokulia tangu kijana mdogo.
Hakuna mahala nimesema niko ULAYA. Na hakuna mahala nimesema tangu utoto.

Toa ushahidi wa ulichosema kwakua post zote zipo. Acha kuassume vitu. 😂
Kaka nimemalizana na wewe. Mbona unanichokoza chokoza sana. We agree to disagree.
Wewe baki na mawazo yako ya kizungu na sisi tuache na mawazo yetu ya kiafrika ya kuheshimu wakubwa.

Wewe ni mtu wa ughaibuni na huko ulipolelewa walikufundisha kuwakosea adabu, na kuwaita hawana IQ kubwa nasio magenius wanawake wa kiafrika.
Wewe umesema ni genius na unatuona watanzania wote hatuna IQ kubwa.
Kaka baki na imani yako nasi waafrika tutabaki na uelewa wetu wa kiafrika
 
Kaka nimemalizana na wewe. Mbona unanichokoza chokoza sana. We agree to disagree.
Wewe baki na mawazo yako ya kizungu na sisi tuache na mawazo yetu ya kiafrika ya kuheshimu wakubwa.

Wewe ni mtu wa ughaibuni na huko ulipolelewa walikufundisha kuwakosea adabu, na kuwaita hawana IQ kubwa nasio magenius wanawake wa kiafrika.
Wewe umesema ni genius na unatuona watanzania wote hatuna IQ kubwa.
Kaka baki na imani yako nasi waafrika tutabaki na uelewa wetu wa kiafrika
Sijawahi kusema watanzania hawana IQ kubwa. Nimesema chaguo halisi la Magufuli kwenye Vice Presedent ni Dr Hussein Mwinyi na Samia ni zao la mafisadi wa Mtandao.

Kusema uwezo wake mdogo sio dhambi. Dhambi ni kumsingizia mtu. Hili swala liko wazi.
 
Iringa,
My Hometown, I was born, grew up, got my Secondary Education Here, I belong here,
This Municipality is too mesmerizing for your gaze’s bewilderment.
The nightlife is something else mateys.
Trust me we have some poor neighbors who apart from their one and only capital, there is only poverty, Hunger, jiggers, hardship and starvation up on their countryside, But Tanzania Got better life away from Dar, Dom, Chuga and the Mighty Rock City,

Gentlemen this is Iringa, I belong here
IMG_3711.jpeg
 
Sijawahi kusema watanzania hawana IQ kubwa. Nimesema chaguo halisi la Magufuli kwenye Vice Presedent ni Dr Hussein Mwinyi na Samia ni zao la mafisadi wa Mtandao.

Kusema uwezo wake mdogo sio dhambi. Dhambi ni kumsingizia mtu. Hili swala liko wazi.
Kaka uzungu mwingi unakusumbua.
Kwanza nilikuambia mgombea uraisi hajichagulii mgombea mwenza ni system ndio inachagua kulingana na utafiti wa kina. Na siyo matakwa yako binafsi.

Halafu nilikueleza kuwa Magufuli sote tulimpenda na siyo wewe pekee. Magufuli hayupo so maisha lazima yaendelee. Wewe ukeshindwa kuachilia matokeo yake umejaa chuki ya kumchukia Mh. Samia.

Unaposema kusema uwezo wake mdogo siyo dhambi, je wewe upo na akili kuizidi system ya Tanzania na wewe peke yako umuone uwezo wake mdogo?

Also nilikupatia takwimu kuwa tangu wakati wa mkapa amekuwa kwenye siasa. Mwaka 2002 alikuwa kwenye CC ya CCM, Wakati wa kikwete alikuwa waziri, vilevile amewahi kuwa naibu spika bunge la katiba, baadae akawa makamu wakati wa Magufuli. But bado huoni uwezo wake unamuona uwezo wake mdogo.

Nilichogundua kuwa wewe unawadharau sana wanawake, unaamini mwanamke hatakiwi kuwa na akili, na ikitokea amekuwa kiongozi basi amewekwa na mafisadi.

Ndio maana nimekuambia we agree to disagree
 
Kaka uzungu mwingi unakusumbua.

Nilichogundua kuwa wewe unawadharau sana wanawake, unaamini mwanamke hatakiwi kuwa na akili, na ikitokea amekuwa kiongozi basi amewekwa na mafisadi.
Toa ushahidi ni mwanamke yupi nimemuonesha dharau?

Unatoa tu shutma bila ushahidi.

Hapa tunaongelea kiongozi wa taifa, where future yetu na watoto wetu iko mikononi mwake. Sasa kumpinga sio dhambi na yeye sio rais wa kwanza kupingwa or kukosolewa. Ni rais yupi hajawahi kukosolewa Tanzania?

Kuleta hoja ya yeye ni mwanamke ni shortsightedness.
 
Iringa,
My Hometown, I was born, grew up, got my Secondary Education Here, I belong here,
This Municipality is too mesmerizing for your gaze’s bewilderment.
The nightlife is something else mateys.
Trust me we have some poor neighbors who apart from their one and only capital, there is only poverty, Hunger, jiggers, hardship and starvation up on their countryside, But Tanzania Got better life away from Dar, Dom, Chuga and the Mighty Rock City,

Gentlemen this is Iringa, I belong here
View attachment 3603241
Hii takataka ndani ya a filters ndio unasifu hivi!
Tafta waburundi ujipige kifua mbele yao.
 
I don’t understand this question buaana
I know You won’t ,
The thing is there are only Isuzu trucks and Jalopies commuting you all around your poor third world country,
If the Indians assemble some decent PSVs in your backyard why are you guys incapable of affording such?
I say so sababu Tanzania Public transport system is way so advanced, sophisticated and competitive to the extent that your isuzus and Nganyas won’t have a chance.
A reason you see Tz companies investing hard Cash on high end PSVs like Irizar and Marcopolos and some Chinese built Decent PSVs,
Kenyan companies can’t afford such, ndio maana unaona Kenya kuna 0 Irizar na Marcopolo licha ya Kuwa kile kiwanda cha Wahindi cha AVa cha Mombasa kinaunganisha bodi za Marcopolo.
Mind you all of those PSVs coming to Tz Market comes at Zero KMs
 
Toa ushahidi ni mwanamke yupi nimemuonesha dharau?

Unatoa tu shutma bila ushahidi.

Hapa tunaongelea kiongozi wa taifa, where future yetu na watoto wetu iko mikononi mwake. Sasa kumpinga sio dhambi na yeye sio rais wa kwanza kupingwa or kukosolewa. Ni rais yupi hajawahi kukosolewa Tanzania?

Kuleta hoja ya yeye ni mwanamke ni shortsightedness.
Kaka hakuna mtu yeyote humu aliyekwambia usimpinge Rais kulingana na uelewa wako. But between line ya maelezo yako yamejaa chuki nzito ambayo haijawahi tokea tangu ulimwengu uumbwe.

Je, ni kipi kinachokufanya useme Rais Samia IQ yake ni ndogo? Huna sababu yoyote kaka. Ili kukuona huna sababu yoyote ni pale unapokuza trivial issue ya yeye kuacha kulieleza kwa kina swali la mwandishi wa habari alipomuuliza kuhusu sanction.

Wakati Rais ilizungumza mengi sana huko Urusi. Alitoa hotuba kwenye jukwaa kubwa St. Petersburg International Economic Forum (SPIEF). Jukwaa hilo lilihudhuriwa na watu zaidi ya 20,000.
Vilevile alihutubia chuoni.

Wewe umeng'ang'a na swali la sanction tu.

"Unasema mambo ya kudharau wanawake hujayasema." Kaka dharau haisemwi dharau inaonekana na sisi tunatafsiri, kinachotakiwa ujitanbue na urekebishe tabia hiyo mbaya.

Badilika kaka utaanza kuona dunia kwenye picha nyingine tofauti.
Na ninakusihi hebu tujadili kwa kina hii visit ya Rais huko Urusi kama kweli wewe ni mzalendo kuliko trivial issues.

Asante
 
Everyday we share figures here indicating that Kenya has more daily flights than Tanzania huwa mnasema ni data za kupikwa. Sasa leo mnasherehekea data za kupikwa?
Minyamwezi mnatia huruma sana
If we wanted kupika tungekua tushapika mda mrefu, in tz data zinaendana na uhalisia wa maisha if GDP Ni $1 we can feel a true $1
 
Back
Top Bottom