ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,346
- 88,415
Hakuna mahala nimesema hajasoma. Amesoma na alifeli mfululizo na amekiri publicly. IQ kubwa unatoa wapi ikiwa umefeli primary na kutoka na zero 4 na 6?Unapomwita Rais Samia kuwa yeye siyo genius, hajasoma, hana IQ kubwa lengo lako ni nini? Lengo lako ni kushusha hadhi yake na kudhalilisha Taifa la Tanzania.
Kaka endelea tu kukaa huko ulaya. Mawazo yako hatuyataki. Huna impact wala faida yoyote katika taifa letu.Hakuna mahala nimesema hajasoma. Amesoma na alifeli mfululizo na amekiri publicly. IQ kubwa unatoa wapi ikiwa umefeli primary na kutoka na zero 4 na 6?
Hapo anadhalilishwa vipi kusema uwezo wake darasani ulikuwa mdogo?
Kwahio unataka tufumbe macho na kuendelea kumpachika maPhD ili aonekane ana akili sana? 😂
Kwenye lile swali dogo tu ndipo IQ yake ilikuwa tested.
"Swali:
How are you going to circumvent or bypass sanctions?
Hapo ndipo alitakiwa kuthibitisha kuwa yuko vyema upstairs. How unajibu swali bila ku-divulge sensitive information?
Nikupe mfano:
Yesu aliulizwa kimtego na wanashearia ili kumtega na kumpa kesi dhidi utawala wa kipindi hicho.
Wanasheria:
"Mwalimu (Yesu) tunajua wewe husema kweli bila kujali cheo cha mtu, tuambie ni haki kulipa kodi kwa Kaisari?"
Yesu: "Dinari ina chapa ya nani?
Wanasheria: "Kaisari"
Yesu: "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari."
Jamii kipindi kile inatambua si sahihi kulipa kodi kwa Kaisari na wanasheria walimjia kwenye kadamnasi wakijua angejibu ndio ama hapana wakijua akijibu ndio watu watamkimbia na akijibu hapana ana kazi na Kaisari.
Aina hii ya swali alikumbana nayo Kwame Nkuruma alipoulizwa "Which direction is Africa facing, East or West?"
Kwame Nkurumah: "We face neither East nor West; we face forward”
Mama yetu kaulizwa swali dogo tu, kajibu kama mpika chai sokoni🚮
Hizo sio flights za kwenda kibera Buda hapo inazungumziwa international flights, ebu taja international airlines yoyote inayopiga trip kutokea wilsonDid Mama samia write that headline?
Wilson Airport Nairbi handles 150 flights per day.
That would make our small domestic airport BUSIER than Dar and Arusha airports combined.
Nimesema siishi Tanzania, ninaishi nilipokulia tangu kijana mdogo.Ukasema tangu utoto wewe upo ulaya.
I don’t understand this question buaanaWhere are those built for Kenia?
Teargass ana mwaiofhawaii mwaka huu kazi wanyo
View: https://www.instagram.com/p/DZMZPhSj2MP/?igsh=a3UxNmQ4bnQ2NWl2
Kaka nimemalizana na wewe. Mbona unanichokoza chokoza sana. We agree to disagree.Nimesema siishi Tanzania, ninaishi nilipokulia tangu kijana mdogo.
Hakuna mahala nimesema niko ULAYA. Na hakuna mahala nimesema tangu utoto.
Toa ushahidi wa ulichosema kwakua post zote zipo. Acha kuassume vitu. 😂
Sijawahi kusema watanzania hawana IQ kubwa. Nimesema chaguo halisi la Magufuli kwenye Vice Presedent ni Dr Hussein Mwinyi na Samia ni zao la mafisadi wa Mtandao.Kaka nimemalizana na wewe. Mbona unanichokoza chokoza sana. We agree to disagree.
Wewe baki na mawazo yako ya kizungu na sisi tuache na mawazo yetu ya kiafrika ya kuheshimu wakubwa.
Wewe ni mtu wa ughaibuni na huko ulipolelewa walikufundisha kuwakosea adabu, na kuwaita hawana IQ kubwa nasio magenius wanawake wa kiafrika.
Wewe umesema ni genius na unatuona watanzania wote hatuna IQ kubwa.
Kaka baki na imani yako nasi waafrika tutabaki na uelewa wetu wa kiafrika
Kaka uzungu mwingi unakusumbua.Sijawahi kusema watanzania hawana IQ kubwa. Nimesema chaguo halisi la Magufuli kwenye Vice Presedent ni Dr Hussein Mwinyi na Samia ni zao la mafisadi wa Mtandao.
Kusema uwezo wake mdogo sio dhambi. Dhambi ni kumsingizia mtu. Hili swala liko wazi.
Toa ushahidi ni mwanamke yupi nimemuonesha dharau?Kaka uzungu mwingi unakusumbua.
Nilichogundua kuwa wewe unawadharau sana wanawake, unaamini mwanamke hatakiwi kuwa na akili, na ikitokea amekuwa kiongozi basi amewekwa na mafisadi.
Hii takataka ndani ya a filters ndio unasifu hivi!Iringa,
My Hometown, I was born, grew up, got my Secondary Education Here, I belong here,
This Municipality is too mesmerizing for your gaze’s bewilderment.
The nightlife is something else mateys.
Trust me we have some poor neighbors who apart from their one and only capital, there is only poverty, Hunger, jiggers, hardship and starvation up on their countryside, But Tanzania Got better life away from Dar, Dom, Chuga and the Mighty Rock City,
Gentlemen this is Iringa, I belong here
View attachment 3603241
I know You won’t ,I don’t understand this question buaana
kwan mwana etu hujui which clubs are in tanzania mpaka leo, arent you ashamed not knowing the biggest clubs in africaStadium ya AI, sasa ndege ya AI, what next 😅
Kaka hakuna mtu yeyote humu aliyekwambia usimpinge Rais kulingana na uelewa wako. But between line ya maelezo yako yamejaa chuki nzito ambayo haijawahi tokea tangu ulimwengu uumbwe.Toa ushahidi ni mwanamke yupi nimemuonesha dharau?
Unatoa tu shutma bila ushahidi.
Hapa tunaongelea kiongozi wa taifa, where future yetu na watoto wetu iko mikononi mwake. Sasa kumpinga sio dhambi na yeye sio rais wa kwanza kupingwa or kukosolewa. Ni rais yupi hajawahi kukosolewa Tanzania?
Kuleta hoja ya yeye ni mwanamke ni shortsightedness.
If we wanted kupika tungekua tushapika mda mrefu, in tz data zinaendana na uhalisia wa maisha if GDP Ni $1 we can feel a true $1Everyday we share figures here indicating that Kenya has more daily flights than Tanzania huwa mnasema ni data za kupikwa. Sasa leo mnasherehekea data za kupikwa?
Minyamwezi mnatia huruma sana
Na nusu ya hizo flights Kenya ni za Ruto tu, Kenyans are way broke to fly
View: https://x.com/i/status/2063625734069833784
mbna kama unataka kuliaDid Mama samia write that headline?
Wilson Airport Nairbi handles 150 flights per day.
That would make our small domestic airport BUSIER than Dar and Arusha airports combined.