Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Victoria..Dar
b6b04907708bb12ea2b28c0926ee31fd.jpg
57b03c5dadae8581f8edeb1db1ce4b6e.jpg
 
did you take note of land compensation and land topography logistics costs? ....I know your government owns all land so no compensation costs and legal battles
Hivi wakenya mtaelimika lini?, kwanini hamjifunzi mnabaki na mawazo yale yale kila siku?, hivi vichwa vyenu vinafanya kazi kweli?, mimi huwa ninawashangaa sana kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiria na kufahamu mambo ya duniani.

Katika ujenzi wa reli, mkopo haulipii fidia ya ardhi, hilo ni jukumu la serikali, sasa hivi serikali ya Uganda imeanza compensation hata kabla ya kuomba mkopo, kwasababu pesa ya ujenzi hailipi land compensation.

Hiyo gharama ya ujenzi wa SGR yenu, bado gharama za compensation hazijawa included kwasababu zilitolewa na serikali way back kabla ya loan kutolewa, kama zitakuwa included zinaweza kukaribia $4.7B from Mombasa to Nairobi
 
Wanapiga kelele Za bure to apa,Najua ata leo Jay na wenzake wmefata vitunguu vibandani waache kutuchota ufala
Hao wauzaji wanaitwa mama mboga sasa watuambie kama sukuma za mama mboga wanazichuliaga kwenye malls
 
Hivi wakenya mtaelimika lini?, kwanini hamjifunzi mnabaki na mawazo yale yale kila siku?, hivi vichwa vyenu vinafanya kazi kweli?, mimi huwa ninawashangaa sana kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiria na kufahamu mambo ya duniani.

Katika ujenzi wa reli, mkopo haulipii fidia ya ardhi, hilo ni jukumu la serikali, sasa hivi serikali ya Uganda imeanza compensation hata kabla ya kuomba mkopo, kwasababu pesa ya ujenzi hailipi land compensation.

Hiyo gharama ya ujenzi wa SGR yenu, bado gharama za compensation hazijawa included kwasababu zilitolewa na serikali way back kabla ya loan kutolewa, kama zitakuwa included zinaweza kukaribia $4.7B from Mombasa to Nairobi


compensation cost was factored in.....why should it be excluded and it forms part of the overheads?.....land Labour cost and material all are aggregated to come up with a consolidated figure
 
Hivi wakenya mtaelimika lini?, kwanini hamjifunzi mnabaki na mawazo yale yale kila siku?, hivi vichwa vyenu vinafanya kazi kweli?, mimi huwa ninawashangaa sana kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiria na kufahamu mambo ya duniani.

Katika ujenzi wa reli, mkopo haulipii fidia ya ardhi, hilo ni jukumu la serikali, sasa hivi serikali ya Uganda imeanza compensation hata kabla ya kuomba mkopo, kwasababu pesa ya ujenzi hailipi land compensation.

Hiyo gharama ya ujenzi wa SGR yenu, bado gharama za compensation hazijawa included kwasababu zilitolewa na serikali way back kabla ya loan kutolewa, kama zitakuwa included zinaweza kukaribia $4.7B from Mombasa to Nairobi
Hii ndio inawauma wakiona namna wachina walivyowachezea kwaito wanaomba bullet train yetu isiwe
 
compensation cost was factored in.....why should it be excluded and it forms part of the overheads?.....land Labour cost and material all are aggregated to come up with a consolidated figure
Unachekesha

"
Taxpayers will pay Sh2.8 billion above the amount the government had set aside to compensate property owners along the Nairobi-Mombasa standard gauge railway (SGR).

Transport principal secretary Irungu Nyakera on Monday said the land compensation bill stands at Sh33 billion or 10 per cent of the project cost of Sh327 billion.
"

Compensation for SGR land exceeds budget by Sh2.8bn
 
Unachekesha

"
Taxpayers will pay Sh2.8 billion above the amount the government had set aside to compensate property owners along the Nairobi-Mombasa standard gauge railway (SGR).

Transport principal secretary Irungu Nyakera on Monday said the land compensation bill stands at Sh33 billion or 10 per cent of the project cost of Sh327 billion.
"

Compensation for SGR land exceeds budget by Sh2.8bn


then comes the topography issue........some areas have tricky gradients and those call for the supporting pillars which are quite a fortune
 
then comes the topography issue........some areas have tricky gradients and those call for the supporting pillars which are quite a fortune
The issue is that the loan does not cover compensation in no way, government already put aside the money to pay for the compensation long before.
 
compensation cost was factored in.....why should it be excluded and it forms part of the overheads?.....land Labour cost and material all are aggregated to come up with a consolidated figure
Sio kweli, jaribu kujielimisha, hakuna Bank au financier yoyote duniani anayekubali kulipia land compensation in foreign countries, nimekupa mfano wa Uganda sasa hivi wanafanya compensation hata kabla hawajaomba mkopo, gharama ya ujenzi wa reli per km, is always within the same range($3M - $7M), depending on topography and water bodies, ukiingiza land compansation haitowezekana kuwa na standard ya price world wide, kuna nchi ardhi ipo juu sana.

Pia kama loan zitakubali kulipia land compensation, ni rahisi sana viongozi wahusika wakatumia fursa hiyo ili kupandisha bei ya ardhi, hivyo basi pesa nyingi ikatumika kwenye kulipia ardhi, mwishowe mradi ukawa ghali sana na kushindwa kutengeneza faida.
 
Victoria..Dar
b6b04907708bb12ea2b28c0926ee31fd.jpg
57b03c5dadae8581f8edeb1db1ce4b6e.jpg
Opposite side of those buildings Kuna nini? Picha ya pili Kuna that building with a curved shape na kando yake Kuna slums, is a hebu leta Picha ya hiyo building uone naijua Dar.
 
Opposite side of those buildings Kuna nini? Picha ya pili Kuna that building with a curved shape na kando yake Kuna slums, is a hebu leta Picha ya hiyo building uone naijua Dar.
Umeizidi umaza
 
Back
Top Bottom