Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila Mkenya angekusikiliza ww wasingekua No 1 uku kwa uwekezaji,utalii nk
utabaki kua solo bogus
Sababu zako zote ni uchwara!!
bora nimeeleweka....when
Kila Mkenya angekusikiliza ww wasingekua No 1 uku kwa uwekezaji,utalii nk
utabaki kua solo bogus
Sababu zako zote ni uchwara!!
bora nimeeleweka....kisha nikukumbushe when demand is high, prices are high....usifananishe bei ya ardhi nchi LDC na nchi iliyovishwa regional hub status...utakuwa unakosea mamako aliyekupeleka shuleni kakulipia karo akidhani unasoma kumbe akili finyu huelewi chochote😀😀😀
 
sema tu hali ya maisha LDC ni magumu hivyo watu wenye mapato ya nchi LDC lazima waende sokoni maana supermarket hawawezani nazo....malls huwa zinaashiria uwepo wa middle class kubwa....Tanzania mmeshindwa hata na Madagascar, Ghana na Ivory Coast kwa middle class...mta afford kweli kufanya shopping katika malls?
Malls vitu ni bei rahisi kuliko kkoo Au maduka mengine...sijawah kuona tofaut and kule unapata vitu genuine so vitu vya viwandani mm hununua malls siku zote, lakini fresh produce hufata kwenye local markets as usually. ..
 
Hahaha stalled? Hivi bado wakenya hamuamini kama next year Tanzania will launch the first bullet train in the eastern and central Africa?

Tupo kwenye speed kali meanwhile in mwanza wakati tunaendelea na SGR yetu

bro fululiza tu picha za reli..😀😀..tuwache maneno mengi...wapi reli?😀😀😀
picha za waturuki wakinywa vumbi msituni sitaki
DPzUQnGX0AEUCOr.jpg
 
Malls vitu ni bei rahisi kuliko kkoo Au maduka mengine...sijawah kuona tofaut and kule unapata vitu genuine so vitu vya viwandani mm hununua malls siku zote, lakini fresh produce hufata kwenye local markets as usually. ..
haya bas nakualika Two Rivers siku moja nikununulie bidhaa kadhaa ufananishe na Kariakoo😀😀😀
 
bora nimeeleweka....when

bora nimeeleweka....kisha nikukumbushe when demand is high, prices are high....usifananishe bei ya ardhi nchi LDC na nchi iliyovishwa regional hub status...utakuwa unakosea mamako aliyekupeleka shuleni kakulipia karo akidhani unasoma kumbe akili finyu huelewi chochote😀😀😀
Umekariri bro,maendeleo ni kila siku...Me enyewe b4 sijamaliza shule nilikua maskini tu but maisha yamebadilika now,the same goes to our country so msitegemee kua mtabaki hub daily..Uchumi wenu hauna kichwa wala miguu,Ktk nchi wala haininyimi usingizi ni Kenya
 
haya bas nakualika Two Rivers siku moja nikununulie bidhaa kadhaa ufananishe na Kariakoo😀😀😀
Bidhaa zilizopo Two river ndio izo zipo Mliman city Au Qulity centre mall...
Unless labda kama uku hazipo kabisa
 
Umekariri bro,maendeleo ni kila siku...Me enyewe b4 sijamaliza shule nilikua maskini tu but maisha yamebadilika now,the same goes to our country so msitegemee kua mtabaki hub daily..Uchumi wenu hauna kichwa wala miguu,Ktk nchi wala haininyimi usingizi ni Kenya
hilo naelewa sana...uchumi unakua ila usifikiri uchumi wa Kenya upo katika hali ya recession...wakati mnakua nasi pia tunakua...ndio maana GDP gap inapanuka....sasa hivi gap nadhani iko 27 billion...in 2022 itakuwa 41 billion😀😀😀
 
Bidhaa zilizopo Two river ndio izo zipo Mliman city Au Qulity centre mall...
Unless labda kama uku hazipo kabisa
nadhani umetaja Kariakoo mahali ukijarib kufananisha na Two Rivers...ama nakosea?
 
hilo naelewa sana...uchumi unakua ila usifikiri uchumi wa Kenya upo katika hali ya recession...wakati mnakua nasi pia tunakua...ndio maana GDP gap inapanuka....sasa hivi gap nadhani iko 27 billion...in 2022 itakuwa 41 billion😀😀😀
Mipango sio Mtumizi...
Haha
 
au tubadilishane maafisa mipango miji? waje watusaidie kupanga jiji letu la dar vizuri?
haiwezekani kila siku ukiongelea jiji la Dsm basi macho yanaangali kkoo, posta, obay, na masaki!!!
Lazima jiji la dsm litanuke, kuwepo na miji ya kisasa pembezoni na muonekano wa jiji la dsm unaanzia ktk mpaka wa kibaha pale unapo karibishwa na vibao vya kuingia jijini. abiria wanao ingia kutoka Kenya, uganda, Rwanda, Drc, Burundi, malawi zambia,botswana,harare n.k ndipo huanzia hapo kukodoa macho kushangaa dsm ilivyo.
 
You are talking like lunatic, hiyo Sgr huwa inaletwa kama TV ndani ya box? You are a fool beyond repair
Mnashinda mkituambia kazi inasonga kwa speed sai karibia nusu mwaka hivi mbna inakua ngumu kutuma picha tuone progress?
 
Tuwape progress kama nani? Mnachangia chochote kwenye hii project? Are you financiers to be provided with the project progress? Mnachekesha
sema tu hamna progress..😀😀..waturuki wanakunywa vumbi msituni😀😀😀
 
Back
Top Bottom