Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uujenzi wa SGR unafanyika 24/7
Screenshot_20180111-201347.png
 
Ujenzi wa SGR ya Isaka (Tanzania) - Kigali (Rwanda) kuanza mwaka huu
 
hapa kazi tu bumper to bumper....kazi juu ya kazi....actions speak louder than words.

f4dd6e7509408ed2763de8ae3e2d8fba.jpg
This is Super stuff . Kenya fanya mmalizane na Uganda mapema. Nimejiuliza kwa nini ame cancel ile priority ya kwanza kwenda Kigoma then to Kigali aka opt this new route! ikabidi nisogeze ramani... Magufuli kuna maeneo huwa hakosei.

Kenya mjipange tena sana, yale ya bomba la mafuta yana eza jirudia. Msibaki mna kalili, Tanzania ni kubwa na ardhi yote ni ya serikali, mtashtuka Reli imepita bukoba imetokezea Kampala.
 
Unazidi kuonyesha kichwani mwako hamna kitu
Ulitaka miezi 6 SGR ya Umeme iwe imekamilika!!
Hata ile mitungi yenu ya chang'aa imechukua zaidi ya miaka 3
Muwe mna ficha upumbavu wenu
miaka mitatu na nusu
 
Hahaha kwani mawazo yako ndio yanabomoa Sgr yetu? Unachekesha

Nyie wenyewe mlikua mkisheherekea hata direct route to New York mbona hamkurusha KQ leo kwenda New York?
mpaka october ndio safari😀😀😀😀
 
madhara ya mayouth kukosa job:

recent robbery incidents that took place in nairobi.
bc2e6b82db61a2d261b5e49609189830.jpg
0eb84201d93f453fc0a0469ec8f94648.jpg
20024f1b68e2d0a016dd93ecb9a3a0ba.jpg
d93ea06204dded22e665a46fd7dcbc2d.jpg
1da3f07011d9b97cf44dfbb8941e5e43.jpg
 
Back
Top Bottom