REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
Ni sababu hakuna masoko kama Tanzania mpaka us wana public markets yanaitwa farmers marketsAti sokoni.
labda watu wa upcountry
All LDC maisha ni rahisi...pia uganda na rwanda ni ksma hapo kwenu....
enda nigeria,ghana,sA,egypt then ulinganishe na kenya kama si sawa.
Public market in Nairobi
Kwa hali hii ni lazima uchukie kushop hapo sikushangai
