The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
League tumei-revamp juzi na tayari mshindi anakula 20m. Hio ni around $155k
View: https://x.com/i/status/2061163802054230148
Wakuu sijaongeza wala kupunguza kitu, link hii hapa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
League tumei-revamp juzi na tayari mshindi anakula 20m. Hio ni around $155k
View: https://x.com/i/status/2061163802054230148
League tumei-revamp juzi na tayari mshindi anakula 20m. Hio ni around $155k
View: https://x.com/i/status/2061163802054230148
Ndio maana tukionesha picha zetu unajifungia kwenye mashimo kama panya.Ati hampendi nini 😅
Is this the only housing project? Hii moja imejengwa for 12 years?Teargass IamLee Nicxie nairobae Hii hapa ni Samia Housing Scheme
Na huo mradi wa NHC Kawe 711 both zipo Kawe
View attachment 3599125
View attachment 3599126
Kama upo tayri let go head to head. Nyie mpo na affordable house kila mtu anajua 🤣 🤣 🤣 Baada ya miaka mitatu zinaangukaIs this the only housing project? Hii moja imejengwa for 12 years?
Bado sn mna safari ndefu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wapambane na hunger kwanza 🤣 🤣 🤣 🤣Bado sn mna safari ndefu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dawa imeanza kupenya 💉💉Bado sn mna safari ndefu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna viashiria vingi sn kuonesha nchi yenye uwezo na ile isiyo na uwezo, angalia kwenye suala la Afcon tu utagundua ni nchi gn inajiweza kati ya Tanzania na kenya, angalia kwenye michezo kwa ujumla, angalia sanaa, angalia chakula, angalia infrastructural transformation utaelewa ni nchi gn maskini zaidi kati ya hizi mbili.Wapambane na hunger kwanza 🤣 🤣 🤣 🤣
Duh!! yaani Dawa ipenye hivyo. Unajua budget ya Simba, Yanga na Azam kwa msimu mmoja?Dawa imeanza kupenya 💉💉
| Klabu | Thamani ya Shilingi (TZS) | Thamani ya Dola (USD) |
| Yanga SC | Bilioni 33.7 | ~$16.84 Milioni |
| Simba SC | Bilioni 29.5 | ~$14.78 Milioni |
| Azam FC | Bilioni 12.0 – 15.0 | ~$6.00 – $7.50 Milioni |
Kenya ni South Sudan iliyochangamkaKuna viashiria vingi sn kuonesha nchi yenye uwezo na ile isiyo na uwezo, angalia kwenye suala la Afcon tu utagundua ni nchi gn inajiweza kati ya Tanzania na kenya, angalia kwenye michezo kwa ujumla, angalia sanaa, angalia chakula, angalia infrastructural transformation utaelewa ni nchi gn maskini zaidi kati ya hizi mbili.
Sisi hatuna battle na nyinyi kwenye michezo mzee, wacha kujipa umuhimu, sisi battle letu na SADawa imeanza kupenya 💉💉
Uyo anafikiri sisi tunaleta masiala kama wao.Duh!! yaani Dawa ipenye hivyo. Unajua budget ya Simba, Yanga na Azam kwa msimu mmoja?
Check hapa:
Klabu Thamani ya Shilingi (TZS) Thamani ya Dola (USD) Yanga SC Bilioni 33.7 ~$16.84 Milioni Simba SC Bilioni 29.5 ~$14.78 Milioni Azam FC Bilioni 12.0 – 15.0 ~$6.00 – $7.50 Milioni
Kijani ridge, 😍😍😍
No stone walls allowed
No overhead cables
Paved roads
No Hawking
No speeding
View: https://m.youtube.com/watch?v=_s_NEDgdbXE&pp=ygUMa2lqYW5pIHJpZGdl
Nionyeshe revenue collected from hizo club tatu from previous matches. Budgets bila revenue ni upumbavuDuh!! yaani Dawa ipenye hivyo. Unajua budget ya Simba, Yanga na Azam kwa msimu mmoja?
Check hapa:
Klabu Thamani ya Shilingi (TZS) Thamani ya Dola (USD) Yanga SC Bilioni 33.7 ~$16.84 Milioni Simba SC Bilioni 29.5 ~$14.78 Milioni Azam FC Bilioni 12.0 – 15.0 ~$6.00 – $7.50 Milioni
Dawa imepenya vizuri 💉💉💉Nani aanze kupitia video hiyo? Learn how to communicate in social media and forums. Unapoteza nguvu yako.
Nenda kalime upate food