Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matunda ya investments kwenye soka, hawa wanusa gundi bado sn kwenye michezo.
Screenshot_20260601_120503_Google.jpg
 
Tanzania ndiyo baba wa soka EA. Imagine Afcon inachezwa katika miji mitatu tofauti.

1. Dar Es Salaam
Mkapa Stadium
Screenshot_20260601_120708_Google.jpg


2. Zanzibar
Fumba Stadium
Screenshot_20260601_121050_Google.jpg
Screenshot_20260601_121136_Google.jpg


3. Arusha
State of the art
Screenshot_20260601_121428_Google.jpg


Nyie wakenya bado sana, uchumi wenu hauruhusu, uchumi mdogo sn, hamuwezi hizi mambo.
 
Na bado tulitaka pia ichezwe na Dodoma, sema figisu za kisiasa tu, lkn hii michuano tulipaswa tuandae wenyewe, hz nchi za kimaskini za EA zitatuangusha.
 
Angalieni vichekesho wakuu, yani mpaka leo bingwa wa ligi ya kenya anapokea milioni 200 kama prize money 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20260601_123508_ChatGPT.jpg
 
Alafu angalieni mshindi wa pili na watatu kile wanachopokea, kumbe ndiyo mana wachezaji wa kenya wote ndoto zao kucheza NBC premier league 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom