Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

View attachment 3522579

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Kuna wakati mwalimu alisema ukitaka kushangaa majumba marefu usiende Ulaya, nenda tu Nairobi.
 
How do you even compare those seats na hizi zenu zilizobanana kama nyumba zenu za uswazi?
View attachment 3597445
Alafu viti zenyewe ni virefu kama mkia wa punda
Bwege wewe lete uwanja duniani una seat zimepangwa kama za matatu kama hizi
Screenshot_20260524_191855_Chrome.jpg
 
Si hua mkiambiwaga mna maisha magumu mnabisha, sasa umeaanza kunyooka mwenyewe. Na apo bado i can even recall you showing us your salary 🤣 , i gave you a simple answer, work so hard bado hujui pesa ni nn, and i told you sku watu wakisema waonyeshe what they own utakua depressed shauri yako
The day you will have responsibility na uache kuishi na mamako you will mature up.
 
Ukitaka uwaumize wakenya na waikimbie JF anza kuweka picha kali za maendeleo ya Tanzania. Wanalala na viatu
Hii inaitwa Sam Nujoma Road - BRT Phase IV
Kwenye picha moja unatuma mixed feelings kwa wakenya

1780141533024.png


1780141666028.png
 
....and they use the same AI to make Talanta look worse. Wanatoa external landscaping inabaki vumbi wakati the landscaping was done ever before the external curtain walls were done.😂😂
If at all wanaamini hiyo stadium Yao sijui mbona mbona wanatumia AI, I think wanapiga Tu kelele when in real sense they admire Talanta Stadium.
 
Back
Top Bottom