Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huoni ata aibu na hio editing
IMG_20260529_221448.jpg


IMG_20260529_221152.jpg
 
Alafu kingine, nchi inahitaji equal investment kote kote, huezi kila budget unawaza barabara, nikupe mfano Serikali inapokea kodi nyingi na mapato kutoka kwenye mpira, wachezaji na club wote wanalipa kodi na serikali inapokea mapato mengi sana, kwa mahesabu ya haraka mpira unagusa watu karibia laki 2, namaanisha kuna wachezaji, madaktari, marefa, makocha, umo umo kuna media houses, saahv ndo usipime kuna masponsor wote hawa wanamwaga mabilioni

Ukiacha na hizo timu zetu zote zinashiriki michuano mikubwa CAF champions league na caf confideration

Wanaingiza pesa nyingi vibaya mno hapo hujajumlisha mahoteli, usafiri woooote hawa wanategemea mnyororo wa mpira


Sasa wewe chagua, upeleke barabra uyole ama uboreshe mazingira ya mpira uendelee kukusanya mabilioni


Apo hatujaongelea hospitali zinazotibu wagonjwa. Mawakala wa ticket wewe utaamua mwenyewe nani atakufukisha trillion moja mapema



And finally michezo inatangaza tanzania kote., mfano saahv tupo fainali ya AFCON apo unaongelea watalii wangap? Wote hao wanakuletea pesa za kigeni uweze kununua mafuta ambayo ndo huduma za lami zipo umo umo
I get that sio kila kitu kiwe na economical impact maybe vingine vitakuwa na Social au Political impact
 
Acha maneno mengi go and work. I didnt get this freedom out of nowhere, alafu mm sio mpuuzi kama wewe, i have a family and i dont wish waishi kma unavoishi wewe, so just focus on how you will become usefull
You are living with your, any person with a responsibility can be idle like you.

Talking of family, if it's true then at what time do you give your wife her conjugal rights cause usiku kucha uko JF engaging yourself.
 
You are living with your, any person with a responsibility can be idle like you.

Talking of family, if it's true then at what time do you give your wife her conjugal rights cause usiku kucha uko JF engaging yourself.
Mbna kama unaumia sana?
 
Si mchana pia you are always here every second. There's no day ushaikosa kuwa active JF even for a minute.

🤣 🤣 sasa shida iko wap young lady? ama kuna limit ya kua uku? again nkukumbushe go and work achan kufuatilia maisha ya watu, shauri yako
 
Back
Top Bottom