stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,577
- 34,190
FIFA ilitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa hivi vituo vya michezo, Tanzania ikajenga Dar na Tanga ambayo tayari zimeanza kufanya kazi na matunda yanaonekana.
Failed state kunyaland kama kawaida wao pesa zikapigwa 😂😂😂
View: https://youtu.be/Ozvo-C3HxYg?si=DyIQnSKHalV-fz_v
saahv wako na project mpya ya EBOLA