Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣 ongeza maombi, unless ni zile mnahost pale Nyayo ambayo we tell you everyday stop building training grounds
Siku mtafika levels za kuhost global sporting events kama hizi njoo kwenye meza ya mazungumzo
210820---nairobi-aug-20-2021-xinhua-440nw-12342593i.jpg
60c8e9f5104487e8a0430471.jpg
000_9LD3RQ-897x598.jpg
images - 2026-05-29T021043.457.jpeg
60c8d5e1784dfd4f982b8452.jpg
210821---nairobi-aug-21-2021-xinhua-440nw-12349173m.jpg
60c8e9f5104487e8a0430471.jpg
nairobi-kenya-19th-aug-2021-athletes-compete-during-the-mens-100m-final-at-the-2021-world-athl...jpg
 
Mna hata diagram ya nuclear power plant?


View: https://x.com/i/status/1951213762867863670


View: https://x.com/i/status/1951287044056982005 walivyo na wivu sasa,ukitaka kujua atukurupuki kama wao ndio hii,sisi tunajenga brt na kunyan wanaangaika kukopa ili nao wajenge brt,sisi tuna train ya umeme na wao wanataka tambo lao la chang'aa waliupgrade liwe la umeme,ile expressway iwapo ingejengwa TZ basi na wao saa hizi wangekua wanaangaika wajenge,TZ ukiondoa mapungufu ya viongozi lakini bado wapo makini sana
 
Wewe ni jinga type sana. Kama Tanzania ndio walibid why then does Kenya and Uganda come in? And why is it even called Pamoja Bid?

Yani you bid to host a tournament and at the same time your neighbours get involved! Mbona basi hamkupewa hosting rights as Tanzania if the bid was yours? Hivi ndivyo mnajiliwaza hapo uswazini mkishakula mihogo ikajaza tumbo?
Acha ubishi, Aliye bid na kutoa wazo la Afcon Pamoja bid ni Tanzania.
Ninyi na wale wala matoke hamkuwa na habari yoyote.
Afcon ipo East Africa kwa sababu ya Tanzania.
Mmeambiwa acheni kujizima data. 😂😂😂
Tizama hii video kuanzia dakika ya 1:42

View: https://youtu.be/HW0PUwbr81c?si=KVBtkRdATXJY3uVQ
 
Unadhani supply chain ya Toyota ni kama ya kusupply mihogo. 😂 😂 😂 Wewe kama primary school dropout ufunze Toyota how to run their business. Eti waweke assembly Mombasa and fail to supply the region. 😂😂😂
Zinazozalishwa hapo Mombasa ni ngapi? Nipe idadi 🤡
 

View: https://x.com/i/status/1951287044056982005 walivyo na wivu sasa,ukitaka kujua atukurupuki kama wao ndio hii,sisi tunajenga brt na kunyan wanaangaika kukopa ili nao wajenge brt,sisi tuna train ya umeme na wao wanataka tambo lao la chang'aa waliupgrade liwe la umeme,ile expressway iwapo ingejengwa TZ basi na wao saa hizi wangekua wanaangaika wajenge,TZ ukiondoa mapungufu ya viongozi lakini bado wapo makini sana

Ndio kama nilivyosema huyo mjinga alifikiri wao ndio pioneer wa nuclear power ukanda huu bila kujua Tanzania tupo stage gani kwenye hiyo venture wakati wao hata framework ya policy hawana, wakenya ni watu easy sana kuwadanganya na kuwapotosha ndio maana wanasiasa wao kuwadanganya mambo ya kitoto kabisa and they believe them wholeheartedly!
 
Zinazozalishwa hapo Mombasa ni ngapi? Nipe idadi 🤡
Nikupe idadi kama nani? Gari imekua assembled in Mombasa since 1977 na assembly line haijawai fungwa unadhani hawangekua na numbers Toyota hawangekua wamefunga. Wewe ni pumbavu bana.
 
Nikupe idadi kama nani? Gari imekua assembled in Mombasa since 1977 na assembly line haijawai fungwa unadhani hawangekua na numbers Toyota hawangekua wamefunga. Wewe ni pumbavu bana.
Hiyo garage kama any backyard home garage, halafu mbona barabara zenu tupu namna hii? Hivi lini mtaacha kutembea kwa miguu mnunue magari? Mombasa garage hata units 10 kwa mwezi hawafiki

View: https://x.com/i/status/2060235315000811625
 
Stop manipulating the scale … they are not equal in size … Talanta is a world class 60k facility whereas yours ni mabati na chicken wire patched together for a 20k only facility .
🤣🤣🤣🤣
With a crusade speakers mounted on the roof😂😂🤣😂👇👇
1000283347.jpg
 
Back
Top Bottom