Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo ndio zilizofungwa ndani ya uwanja mnuka mavi. 😂😂😂😂 👇🏾View attachment 3593601hapa nje 👇🏾View attachment 3593602View attachment 3593603
They are still low quality 😂😂🤣👇👇

1000279849.jpg
1000279833.jpg
1000279649.jpg
 
Wewe kima ngoja leo nikikate kichaka chako 😂😂😂

1. Exterior LED lights za Arusha stadium zitakua za kipekee zaidi ukanda huu. 👇🏾 this is Arusha stadium at night when completed 👇🏾View attachment 3593633View attachment 35936342. There is 18 skyboxes in Arusha stadium

3. Unajisifia water fountains outside Talanta affordable stadium.? 😂😂😂 Hiyo Talanta ilo na indoor Arena.?

Hizo zingine unataja zote sio qualities za better stadium. 😂😂😂
Oyaaa kumbe hii ngoma ndo itakuwa hv upon completion.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾 imekua yamoto balaa. 🔥🔥🔥. Serikali yetu tunaitukana tu, lakini jamaa wakifanya projects zao, hawachekeshi, standards zinazingatiwa balaa.
Wanaotukana Serikali yetu ni Wakenya kaka, wamejifanya watanzania ili kutengeneza negative narrative kwenye jamii. Tunawajua hao, itafika sehemu watachoka
 
Back
Top Bottom