Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vizuri Kumbe mnajenga 1887.6 km sio 6100km kama rais wenu alivyodai na mpumbavu mwenzako aliyedai mnajenga barabara mpya 6100km , 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa nani mjinga kama sisi na nyinyi ambao mnadanganywa kujenga barabara mpya 6100km wakati kiuhalisia ni 1887.6km🤣🤣🤣🤣
Selected major road projects as at December 2025

Tukisema nyinyi ni primary school dropouts munakasarika. Kwako the word selected inamaanisha all. Bana enyewe huku tunadeal na mafala.
 
Same material. 😂😂😂👇🏾View attachment 3593434👇🏾View attachment 3593435ati ni affordable stadium 😂😂😂😂
Yenu ni Mabati pure🤣🤣😂👇👇👇

1000279741.jpg
1000279742.jpg
1000279559.jpg
 
Selected major road projects as at December 2025

Tukisema nyinyi ni primary school dropouts munakasarika. Kwako the word selected inamaanisha all. Bana enyewe huku tunadeal na mafala.
Screenshot_20260523-153256.png

Wewe ni mpumbavu haya orodha kamili hiyo hapo tuambie jumlisha ukimaliza tutafutie nyingine 1112km hatutaki 6100 km alizosema ruto
 

Attachments

This are KENHA projects, si unaona ulivyo mjinga. Unafaa kujua in Kenya hadi an MCA pia ana projects zake za kujenga barabara. Kenya sio kama bongoslum.
Sasa wewe leta hizo zilizobakia , hakuna county Kenya inayoweza Jenga hata 100km ya tarmack road kwa mwaka kwa revenue zake buda.
Wewe leta orodha Mimi bado nasimama kuwa hakuna barabara zakufikia 3000km zinazojengwa kenya
 
Sasa wewe leta hizo zilizobakia , hakuna county Kenya inayoweza Jenga hata 100km ya tarmack road kwa mwaka kwa revenue zake buda.
Wewe leta orodha Mimi bado nasimama kuwa hakuna barabara zakufikia 3000km zinazojengwa kenya
Si unaona wewe ni pumbavu ju unadhani it's only KENHA and counties who builds roads in Kenya.
 
Back
Top Bottom