Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamzalishi mara mbili.
Kuwa na capacity haimaanishi mnazalisha sasa hivi.
You have no where to take it.

Na ni rahisi kujenga dam kuliko kujenga a national grid, with all the last mile connections.
Kenya inaweza jenga dam kubwa leo na miaka tano, while you're yet to even catch up with our grid size.
Duuh elimu yenu bado changamoto , hivi distribution network ya Kenya versus tanzania Ina utofauti wa kiasi gani?
Hamna uwezo wa kujenga dam fuatitilia hata bajeti yenu ya mwaka huu ya energy uone mlivyo nyuma sana kwenye kusambaza umeme.
 
Service lane haiwezi ihesabia kama ni lane sababu ni requirements ya barabara kuwa na service lane. Huwezi ihesabia kama ni moja ya lanes za barabara ,wajinga nyiny
Umesema ni requirements ya barabara kuwa na service lane.

Ebu tuonyeshe service lane🤣😂😂👇👇👇

1779537126040.jpeg
 
Service lane za vumbi. 😂 😂 😂 Only in bngoslum.
By the way barabara zap hazinanga service lanes🤣😂🤣.

Alafu anakuambia ati service lanes ni requirements za barabara yet hao hawana hizo service lanes kwa barabara zap😂😂🤣
 
By the way barabara zap hazinanga service lanes🤣😂🤣.

Alafu anakuambia ati service lanes ni requirements za barabara yet hao hawana hizo service lanes kwa barabara zap😂😂🤣
It's a new concept to them, si unaona sahii ndio wameanza kuplan kujenga their first ever clover leaf interchange. 😂 😂 😂 Wako nyuma kama matako.
 
nairobae niliona kuna kichaa moja alikuwa anapinga ati roads under Construction in Kenya hazifiki hata 200km.

This is as 2025 Dec👇👇

View attachment 3593446
Vizuri Kumbe mnajenga 1887.6 km sio 6100km kama rais wenu alivyodai na mpumbavu mwenzako aliyedai mnajenga barabara mpya 6100km , 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa nani mjinga kama sisi na nyinyi ambao mnadanganywa kujenga barabara mpya 6100km wakati kiuhalisia ni 1887.6km🤣🤣🤣🤣
 
It's a new concept to them, si unaona sahii ndio wameanza kuplan kujenga their first ever clover leaf interchange. 😂 😂 😂 Wako nyuma kama matako.
Mwenzako kaleta orodha ya km 1887.6 km mnajenga tafuta nyingine 1112.4km ndo twende kutafuta nyingine 3000km🤣🤣🤣🤣.
Tumewakamata kijinga sana
 
Bongolalas hate data ju hawakuenda shule, that's why they have stupid demands, eti mtu anataka aonyeshwe picha za 3000km of roads.
Umeambiwa ulete proof ya km 3000 umeshindwa mpumbavu mwenzio kajitutumua akijua anataniweza Kumbe ni 1887.6
 
Vizuri Kumbe mnajenga 1887.6 km sio 6100km kama rais wenu alivyodai na mpumbavu mwenzako aliyedai mnajenga barabara mpya 6100km , 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa nani mjinga kama sisi na nyinyi ambao mnadanganywa kujenga barabara mpya 6100km wakati kiuhalisia ni 1887.6km🤣🤣🤣🤣
Hiyo 1887.6km umetoka wapi? Kusoma ndio hujui ama? Maana ya selected ndio huelewi ama?😂😂

Wewe unakuanga Tu fala.

1000279739.jpg
 
Bongolalas hate data ju hawakuenda shule, that's why they have stupid demands, eti mtu anataka aonyeshwe picha za 3000km of roads.
Umeambiwa uzitaje umeshindwa ebu tuletee orodha ya barabara nyingine
1000279739 (1).jpg

Hizi hazijafika hata 3000km .
Nincompoops
 
Back
Top Bottom