concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Duuh elimu yenu bado changamoto , hivi distribution network ya Kenya versus tanzania Ina utofauti wa kiasi gani?Hamzalishi mara mbili.
Kuwa na capacity haimaanishi mnazalisha sasa hivi.
You have no where to take it.
Na ni rahisi kujenga dam kuliko kujenga a national grid, with all the last mile connections.
Kenya inaweza jenga dam kubwa leo na miaka tano, while you're yet to even catch up with our grid size.
Hamna uwezo wa kujenga dam fuatitilia hata bajeti yenu ya mwaka huu ya energy uone mlivyo nyuma sana kwenye kusambaza umeme.