Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,203
- 33,400
Kama UAE wananunua maize Tanzania to feed Ukunduni,, is there any difference?Kwa hivyo UAE ni bongoslum sio?
Humanitarian assistance is expected to mitigate more severe outcomes in Dadaab and Kakuma refugee camps, and Kalobeyei settlement, sustaining Crisis! (IPC Phase 3!) outcomes through September.
15.6Km yenu 10km hata kujenga wenyewe hamwezi mpaka mjengewe bureBarabara ya 12km pia ni kitu ya kulipishwa. 😂 😂 😂
La Capitale d'Afrique 🤣🤣🤣🤣hio inaitwa kapito le afrika
Ndoto za AbunuwasiDangote has already chosen Kenya, hizo factors zako tafuta nazo investor mwingine😂😂
Teargass sku ingine uwe unaskiliza masomo, growth ya 4% na inflation 5% , now these are the results, na apo bado mtalia sana not adding the new debts ruto took
View: https://x.com/Wambuib4sky/status/2057067939698799046?s=20
Alafu sasa kuna wachawi that aren't even in top 10 in Africa😂😂🤣Kenya is one of the most recent entrants to top ten in the last few years
View attachment 3592031View attachment 3592032
Wewe kijana una matatizo.
Just do the comparison mister🤣🤣😂👇👇Wewe kijana una matatizo.
Watu wanafanya rebasing halafu wako humu na Kelele!Are you aware that our GDP is twice ya Tanzania? And what about Tanzanian economy that is currently number 13 in Africa? At least sisi tumetoka position 6 to 7, nyinyi mmetoka from position 9 to 13🤣🤣😂
So tulifanya rebasing last year?🤣🤣😂.Watu wanafanya rebasing halafu wako humu na Kelele!
Njaa mbaya sana. Imewafanya wakenya wawe vichaa.