mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,445
- 4,950
Ushindani na Tanzania kwani nyinyi mna sgr??? 😀 😀 😀 ....we jamaa huwa bogus, huwa unawazia vitu unaandika??utashindanaje na vitu hakuna?hata SGR yenu kenya mliacha kusikiliza wanauchumi wenu na world bank mkataka ushindani na tanzania siunaona leo deni linavowatesa
60% debt to Gdp ratio😀😀😀😀😀😀
mchina hamutomsahau
sasa badala ya kurudisha ndege za wenyewe mukaanza upya kununua zenu sasa badala yake loss inaitesa nchi miaka mitano
na mm ntawapa only three factors zilizochagia loss kubwa kq na ya muda mrefu
1} leasing aircrafts yani huyu ndio mchawi no 1
2} low tourism visit kenya and it bcz of tanzania kwa juhudi kubwa na zamakusudi za kikwete
3} kama munakumbukumbu nzuri kikwete alipunguza safari za kq per week kuja dar from 48 to 12 for almost 4 to 5 days na hio sababu iliyumbisha sana kq, kikwete alifanya hvo baada ya kenyata kuzuia magari ya tanzania kuingi JKIA kuchukua watalii, lakini badae kenyatta akaomba yaishe

