Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanians have no point arguing with us. walete malls, roads, airports, universities, schools sasa. we need to compare our infrastructure sasa sio hii ya kudiss KQ wakati wao hawana airline.
Kwanini ninyi mnapenda kushindanisha vitu visivyokua na faida kwa wananchi wa kawaida?, hivi malls inasaidiaje wananchi wa kawaida?, roads ni muhimu sana, ndiyo sababu Tanzania imejenga barabara nyingi na ndefu za lami kuliko Kenya, hapa Tanzania hakuna mkoa ambao haujaunganishwa na lami, kwenu huko Wajir na Turkana hakuna lami.
 
Kwa nini mtusikilie aibu!? Hatuwaombi chochote! Hebu jiulize,hata kama hakuna ajira Kenya na kunayo tele TZ,kwa nini vijana hawa wasije kutafuta huko kwenu!? Simple,they better hustle in an open-minded ''struggling'' yet progressive Kenya than be in a close-minded ''resource rich'' TZ!

Ni aibu kubwa kwa taifa LA Kenya vijana wameshinda bustani za cbd na kaki envelope
Alafu Nyanya , vitunguu, viazi, Nyama, unga , mchele na gesi ya kuandaa chakula mnatoa Tanzanian
Nilisha uliza humu how long Tanzania will spoon feed Kenyans
Fanyeni kazi vijana ingieni shambani mlime kuwa legelege mnapigwa adi na wanawake sio poa mnatua aibisha
 
Kwa nini mtusikilie aibu!? Hatuwaombi chochote! Hebu jiulize,hata kama hakuna ajira Kenya na kunayo tele TZ,kwa nini vijana hawa wasije kutafuta huko kwenu!? Simple,they better hustle in an open-minded ''struggling'' yet progressive Kenya than be in a close-minded ''resource rich'' TZ!
Unasema nini wewe?, wakenya kibao wapo Tanzania kutafuta kazi za kufundisha na kilimo, umesahau Magufuli alipoingia madarakani aliposema wageni wote wanaofanya kazi Tanzania without work permit jinsi Kenya mlivyolalamika kwamba mnakuwa targeted?, wakenya wengi sana walirudi Kenya, sasa hivi ndiyo wanarudi kidogo kidogo baada ya kufuata sheria za nchi.
 
Hahaha hawa jamaa ni vilaza kwanza walikua wanafikiria KQ inamilikiwa na serikali yao kwa 100% kumbe hata 49% haifiki wanajitapa tu na company ya mtu binafsi ndege zenyewe zote za kukodi.

At this rate of your blind aircraft acquisition and outright government ownership,you will very soon learn the hard way on how not to run an ego booster of an airline instead of a profitable one! Governments have no business running businesses but to facilitate conducive environment for public and private run corporates to thrive! KQ is majorly public owned with the government only strategically maintaining a minority share for regulatory purposes. But what do you know?
 
Kwanini ninyi mnapenda kushindanisha vitu visivyokua na faida kwa wananchi wa kawaida?, hivi malls inasaidiaje wananchi wa kawaida?, roads ni muhimu sana, ndiyo sababu Tanzania imejenga barabara nyingi na ndefu za lami kuliko Kenya, hapa Tanzania hakuna mkoa ambao haujaunganishwa na lami, kwenu huko Wajir na Turkana hakuna lami.
IMG0017.JPG

upload_2018-1-12_14-7-22.jpeg

just a few photos of road leading to Turkana's headquarter. Za Wajir narusha after few secs
 
Unasema nini wewe?, wakenya kibao wapo Tanzania kutafuta kazi za kufundisha na kilimo, umesahau Magufuli alipoingia madarakani aliposema wageni wote wanaofanya kazi Tanzania without work permit jinsi Kenya mlivyolalamika kwamba mnakuwa targeted?, wakenya wengi sana walirudi Kenya, sasa hivi ndiyo wanarudi kidogo kidogo baada ya kufuata sheria za nchi.

Those are the closed-mind policies of yours that I'm focusing on here! For them to have gone that far to impart knowledge as teachers in those far flung areas of Tz,there was a desperate local need for them! It was imperative for Tz govt to regularize their hiring! You don't demonize your saviours. That's why those young men in Nairobi will think twice before engaging in TZ
 
Mnanunua mindege ya shilingi mbili yenye mbali inaeza fika ni Botswana mnajiona mmefika hadi kuwadharau watu wana ndege za kisasa na wanachapa direct flights to Hong Kong, dubai, London, New york n.k....mbongo ni mtu wa ajabu sana
9cecee50b7393d9bb1b0228b895fbac9.jpg

Siku mtafika huku na pangaboy yenyu mfufue hii mada
tatizo sio zenu nadio maana zinawatia hasara leo miaka mitano😀😀😀😀
na munaogopa kuzirudisha ili msiopate aibu sasa mumeamua kuzikumbatia hvo hvo na hasara juu munachoma moto pesa za walipa kodi masikini
 
Tanzanians have no point arguing with us. walete malls, roads, airports, universities, schools sasa. we need to compare our infrastructure sasa sio hii ya kudiss KQ wakati wao hawana airline.
rudi page za nyumba mbona muoga sana wewe
 
At this rate of your blind aircraft acquisition and outright government ownership,you will very soon learn the hard way on how not to run an ego booster of an airline instead of a profitable one! Governments have no business running businesses but to facilitate conducive environment for public and private run corporates to thrive! KQ is majorly public owned with the government only strategically maintaining a minority share for regulatory purposes. But what do you?
kumbe hua unaongea nonsense😀😀😀😀
 
It's a step down now to Tanzania vs Nairobi! Fair enough,it was too ambitious of them to tag NBO vs DAR. Most appropriate would have been DAR vs Mombasa
dar alone inaweza pambana na nairobi+ mombasa +kisumu na hamutoboi😀😀😀😀😀😱
 
Those are the closed-mind policies of yours that I'm focusing on here! For them to have gone that far to impart knowledge as teachers in those far flung areas of Tz,there was a desperate local need for them! It was imperative for Tz govt to regularize their hiring! You don't demonize your saviours. That's why those young men in Nairobi will think twice before engaging in TZ
Kenya Airways asks state to help it with growing competition

we ulifkiri watu wamelala😀😀😀😀
 
hata SGR yenu kenya mliacha kusikiliza wanauchumi wenu na world bank mkataka ushindani na tanzania siunaona leo deni linavowatesa
60% debt to Gdp ratio😀😀😀😀😀😀
mchina hamutomsahau

sasa badala ya kurudisha ndege za wenyewe mukaanza upya kununua zenu sasa badala yake loss inaitesa nchi miaka mitano
na mm ntawapa only three factors zilizochagia loss kubwa kq na ya muda mrefu

1} leasing aircrafts yani huyu ndio mchawi no 1
2} low tourism visit kenya and it bcz of tanzania kwa juhudi kubwa na zamakusudi za kikwete
3} kama munakumbukumbu nzuri kikwete alipunguza safari za kq per week kuja dar from 48 to 12 for almost 4 to 5 days na hio sababu iliyumbisha sana kq, kikwete alifanya hvo baada ya kenyata kuzuia magari ya tanzania kuingi JKIA kuchukua watalii, lakini badae kenyatta akaomba yaishe
 
Back
Top Bottom