stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,923
- 34,705
kodi yenyewe 90% inatumika kulipa deniAisee KRA haitaweza kulipa hilo deni maisha duh.
kodi yenyewe 90% inatumika kulipa deniAisee KRA haitaweza kulipa hilo deni maisha duh.
Ukweli ni kwamba mafuta yalioko Lokichar ni madogo hayawezi kushawishi ujenzi wa pipeline au refinery!umenkumbusha mbal EACOP kuna kampuni ilipewa ianze uchimbaji na waandishi wakaenda kabisa pale na mkataba ukasainiwa 😂 😂 miaka 5 mbele wameishia kujenga vibanda vya wafanyakazi na ule mradi ukauzwa tena kwa mwingine
Njaa inawafanya wakenya wawe wapumbavuYou know something
View attachment 3591304
Uwanja umepigwa bomu.? 😂😂😂
Wacha upuuzi Kwani Kibaha-Ubungo, lanes ngapi? BRT roads zote ni 6 lanes!Dodoma 6 lanes road. Dodoma inaungana na Nairobi kwa kuwa mji wa pili East Africa kati ya miji inayomiliki barabara moja tu yenye njia sita. 😂😂😂. 👇🏾View attachment 3591359View attachment 3591360View attachment 3591362View attachment 3591363
Unajaza Server with zero contentsKeView attachment 3591311View attachment 3591313View attachment 3591314View attachment 3591315View attachment 3591321View attachment 3591325View attachment 3591331View attachment 3591328View attachment 3591334View attachment 3591353View attachment 3591364View attachment 3591340View attachment 3591354View attachment 3591358View attachment 3591361View attachment 3591369