The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Masaa 24 wanawaza kula tuu, maendeleo aaahhNjaa inawafanya wakenya wawe wapumbavu
Masaa 24 wanawaza kula tuu, maendeleo aaahhNjaa inawafanya wakenya wawe wapumbavu
hata ya Uganda yenyewe hayatoshi lazima tuongezee apa na pale kufika 600kUkweli ni kwamba mafuta yalioko Lokichar ni madogo hayawezi kushawishi ujenzi wa pipeline au refinery!
Hizi ndiyo road zinatakiwa zijengwe, sio kutegemea traffic lights.Dodoma 6 lanes road. Dodoma inaungana na Nairobi kwa kuwa mji wa pili East Africa kati ya miji inayomiliki barabara moja tu yenye njia sita. 😂😂😂. 👇🏾View attachment 3591359View attachment 3591360View attachment 3591362View attachment 3591363
We nawe uwe unaelewa hoja mzee.Wacha upuuzi Kwani Kibaha-Ubungo, lanes ngapi? BRT roads zote ni 6 lanes!
looks more like upper middle poverty 😂Duh upper middle income kantri 🤣🤣🤣🤣
Hawa washamba huwa wanajengewa vitu low quality kwasababu ya kukurupuka.Hizi hapa zote ni construction sites. Hii hapa ni before seats 💺 installation in Arusha stadium na samples za viti kidogo 👇🏾View attachment 3591377View attachment 3591378View attachment 3591379mean while in Talanta stadium kunya. After seats installation 👇🏾😂😂😂 hii ya talanta inakaa imepigwa bomuView attachment 3591380very low standards 😂😂😂
kaeni ivo ivo mafala 😂, yaani msipande dala dala kazeni ivo ivo
View: https://x.com/swahilitimes/status/2056265805004681696?s=20
wanapenda sana kujiamulia mamboHii ndio dalili ya safari ya Singapore 🇸🇬
Wawashwa?Unajaza Server with zero contents