Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

These Tanzanians are arguing with a lot of emotion and bitterness. As such, they don't reason most of the time provided they've said something negative about Kenya even if it's blatant lies. Yani hawajawahi kuamini kwamba Kenya inawashinda kwa sectors zote muhimu. Japo hata sisi pia tuko na chalenges kibao kama tu wao, lakini chuki na roho mbaya umewakaba hadi hawawezi kukubaliana na ukweli kwamba kwa sasa, tushapiga hatua kuwaliko

Vyema sasa useme ni hatua gani kenya imepiga,zaidi ya kelele humu.
 
Dar haina tofauti na Mombasa...when a city is important, you will always find land prices skyrocketing...in EA, almost 99% of all multinational companies like Google, Microsoft, Coca Cola have set up in Nairobi...only 1% in Kampala, Dar and Kigali...ndio maana land kule Dar ni kama kununua premende
Achana na hawa vilaza. It's likw ujamaa affected their thinking and reasoning abilities
 
You are just a typical danganyikan who can't live with the truth that Kenya ishapiga hatua kuwaliko. Just a moment ago you were talking about how KQ has been making losses since 1970 sasa hivi unasema wanapta faida ndogo. Cha kushangaza ni kwamba nyinyi hamna shirika la ndege ambayo inapata fiada hata robo ya ile "ndoho" KQ inapata. Why the sudden change of tune? Number mtazidi kusoma nyinyi wa ********.
Hampati faida yoyote ukipata faida 100 na kuna business partner wako anakudai 100 utasema umepata faida?

ATCL is coming get prepared
 
Hampati faida yoyote ukipata faida 100 na kuna business partner wako anakudai 100 utasema umepata faida?

ATCL is coming get prepared

Wewe endelea kuuza diamond karanga hapo mbagala tuone kama itawanusuru kutoka ldc. Wakati mnapiga kelele, KQ is launching direct flights to America huku nyie huko air Tanzania bado mnatufuta pesa za kujumpstart operations 50 years since mpate independence.
 
sasa niletee link kua kenya airways imenunua ndege cash nasubiria bro mm sihitaj blah blah😀😀😀
Hahaha hawa jamaa ni vilaza kwanza walikua wanafikiria KQ inamilikiwa na serikali yao kwa 100% kumbe hata 49% haifiki wanajitapa tu na company ya mtu binafsi ndege zenyewe zote za kukodi.
 
You need to go back to class. Acha nikupatie examples za codes uache kupayuka hapa......Austrian Airlines kujiita OS si waliiba dunia mzima?
Air Tahiti Nui TN
Alitalia AZ
American Airlines AA
ANA NH
Asiana Airlines OZ
Austrian Airlines OS
Avianca AV
Biman Bangladesh BG
British Airways BA
Brussels Airlines SN
Cathay Pacific CX
China Airlines CI
China Eastern MU
China Southern CZ
Delta DL
Dragonair KA
easyjet U2
Egyptair MS
Emirates EK
Ethiopian Airlines ET
Etihad Airways EY
Eva Air BR
Fiji Airways FJ
Finnair AY
Firefly FY
Flybe BE
FlyDubai FZ
Garuda GA
Gulf Air GF
Hainan Airlines HU
Hawaiian Airlines HA
Hong Kong Airlines HX
Iberia IB
Icelandair FI
Iran Air IR
Japan Airlines JL
Jet Airways 9W
Jetstar Airways JQ
Kenya Airways KQ
KLM KL
Korea Air KE

Soma article acha kukurupuka. Mimi nilitaka uone mistari 4 ya kwanza tu sio asili ya jina. Tumia common sense.
 
ngunze mutanlaumu bure😀😀😀😀
loss iko kwenye leased aircrafts mukiweza rudisha ndege zote alaf muanze kununua zenu loss ndio itaisha mutamtafuta mchawi wakat mchawi anajulikana
C5B58A77-881D-4A77-878F-9C4C4F88F77B.jpeg
 
Hahaha hawa jamaa ni vilaza kwanza walikua wanafikiria KQ inamilikiwa na serikali yao kwa 100% kumbe hata 49% haifiki wanajitapa tu na company ya mtu binafsi ndege zenyewe zote za kukodi.
yani nachoshangaa ni kua mkenya hajui kama ni ndege za kulease😀😀😀😀😀😀 yani wanajua ni zao
 
Wewe endelea kuuza diamond karanga hapo mbagala tuone kama itawanusuru kutoka ldc. Wakati mnapiga kelele, KQ is launching direct flights to America huku nyie huko air Tanzania bado mnatufuta pesa za kujumpstart operations 50 years since mpate independence.
Ndege 5 kubwa zinaingia this June cash paid huku procurement ya nyingine 5 zikiwa kwenye mchakato.

Remember it's pure cash purchased sio lenders like you kiberians
 
Hatua ya kwanza na ya MUHIMU kabisa ni kwamba hatuko ldc kama nyinyi. Niendelee ama niachie hapo?

Pwahahaaaaaaaaaa,eti hatuko ldc Kama nyinyi!!!hivi hata hao mko nao kundi moja hawajisikii vibaya!!!!!ina maana gani kuwa huko na huna chakula???
 
Sijawai ona bongolala kama nyinyi wawili.....hata airline hamna ata sijui mnazungumza mambo ya ndege kivipi.ligi yenyu ni Uganda na Burundi
Truth always hurts congratulations though for owning only papers and documents in the whole KQ company that's great achievement since 1970s good job buddies

Briefcase companies exist
 
Mnanunua mindege ya shilingi mbili yenye mbali inaeza fika ni Botswana mnajiona mmefika hadi kuwadharau watu wana ndege za kisasa na wanachapa direct flights to Hong Kong, dubai, London, New york n.k....mbongo ni mtu wa ajabu sana
9cecee50b7393d9bb1b0228b895fbac9.jpg

Siku mtafika huku na pangaboy yenyu mfufue hii mada
 
Ndege 5 kubwa zinaingia this June cash paid huku procurement ya nyingine 5 zikiwa kwenye mchakato.

Remember it's pure cash purchased sio lenders like you kiberians
Story za "tuta" na "ita" tushawazoea nayo. Hata ldc m"ta"toka tu siku moja
 
Back
Top Bottom