Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunatofautiana malengo kijana,tofauti ya mkenya na mtanzania ni hii.mtanzania hufanya jambo kwa Faida Tu,mkenya hufanya jambo kwa kutafuta sifa Tu. Leo hii hujui Kama tunalo shirika la Ndege,na wala hutakaa ulijue.ila Ndege zimeishanunuliwa na zimeanza kazi.
Eti mtanzania hufanya jambo kwa faida? Hehehe....ujamaa uliwafaidi nini? Na hiyo shirika lenu ya ndege imewafaidi nini hadi wa leo? Wakati air Tanzania ndio inajikskamua kununua ndege 2018, Kenya airways has been in operation since 1970s. Are you seeing the difference?
 
Eti mtanzania hufanya jambo kwa faida? Hehehe....ujamaa uliwafaidi nini? Na hiyo shirika lenu ya ndege imewafaidi nini hadi wa leo? Wakati air Tanzania ndio inajikskamua kununua ndege 2018, Kenya airways has been in operation since 1970s. Are you seeing the difference?
Ujamaa umetuondolea tribalism, corruption, insecurity, slums, gap between rich and poor, land grabbers, njaa and extreme poverty
 
hapo awali Ethiopia walikuwa waki benefit kutoka kwa no direct flights to US ila sasa wataambulia patupu
eth.PNG
 
we are now the official gateway to East Africa from the US in aviation...already we were the gateway to EA via sea
 
Na mbona bado mko LDC kama ujamaa ilisaidia "kuondoa" hayo yote?
Wewe nimekuambia ujamaa umekuja kutuondolea hayo niliyo wataja, sio kupambana na ldc, ubepari umewaondolea ldc lakini umewaletea tribalism, corruption, insecurity, slums, land grabbers, extreme poverty. The choice is yours
 
Back
Top Bottom