Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ina higher minimum wage from both public and private sector way higher than any EA state, acheni kujidanganya mishahara ya Tanzania ipo juu kuliko Kenya, fresh teacher Kenya kwenye public school anaanza na 200k tsh wakati Tanzania anaanza na 500k tsh
Haya, amka sasa, utajikojolea.😂😂
 
Haya, amka sasa, utajikojolea.😂😂
Screenshot_20260517-090513.jpg
Screenshot_20260517-090408.jpg
 
Hawezi kujenga Kenya ambapo your only external market ni Uganda ambao na wenyewe wana refinery yao aache Tanzania ambayo kuna Malawi, Zambia, DRC, Comoros, Burundi, Rwanda, Mozambique, Zimbabwe, Kenya etc hawezi upeleka Kenya kama anataka lion market share!
Hizi zote nenda ukaambie Dangote mwenye amechagua Kenya. Sasa sisi unatuambia unataka tukusaidie aje?
 
Back
Top Bottom