Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,655
- 107,089
Hamna pesa ninyi hizo huwa purchased worldwide, mngekua na pesa msingeshindwa hata kupurchase medical insurance ambayo saivi ipo kaburiniWatu wa kawaida wengi wana pesa Kenya ….. no other country in East and Central Africa such over-sale can happen
Haya, amka sasa, utajikojolea.😂😂Tanzania ina higher minimum wage from both public and private sector way higher than any EA state, acheni kujidanganya mishahara ya Tanzania ipo juu kuliko Kenya, fresh teacher Kenya kwenye public school anaanza na 200k tsh wakati Tanzania anaanza na 500k tsh
Hamna kitu Ukunduni wanaweza mbele ya Tanzania. Wiki ijayo Dangote team is in Tanga! AND BTW Dangote specifically mentioned LNG gas!Wamebembelezana na Dangote kweli kweli but it seems Jamaa is only focused on building the refinery in Mombasa🤣🤣😂
Hizi zote nenda ukaambie Dangote mwenye amechagua Kenya. Sasa sisi unatuambia unataka tukusaidie aje?Hawezi kujenga Kenya ambapo your only external market ni Uganda ambao na wenyewe wana refinery yao aache Tanzania ambayo kuna Malawi, Zambia, DRC, Comoros, Burundi, Rwanda, Mozambique, Zimbabwe, Kenya etc hawezi upeleka Kenya kama anataka lion market share!
Umesema Fresh teacher in public schools in Kenya ana earn Tsh. 200k, saahii unaniletea blogs za minimum wage public servant (which is not even 200k). Hivi kichwa yako iko sawa?
Ya bongoslum ni ya public servants ama civil servants. Ya Kenya ni ya kila mtu hadi wale wako Kwa private sector. Unalinganisha nini Sasa?
View: https://x.com/CJ_Haslett/status/2055898882337395015
MY TAKE
ufala wanabebwa ni level nyingine deadly!
Anadhani public servants na civil servants ni same thing. 🤣 🤣 🤣Ya bongoslum ni ya public servants ama civil servants. Ya Kenya ni ya kila mtu hadi wale wako Kwa private sector. Unalinganisha nini Sasa?
View: https://x.com/CJ_Haslett/status/2055898882337395015
MY TAKE
ufala wanabebwa ni level nyingine deadly!
Does this look like questioning to u?Tunabebwa aje ufala when we are questioning it? Huko kwenu ndio huwa mnabebwa ufala ndio maana mnashukuru Suluhu hapo Arusha for things that hapa Kenya angepata scrutiny hadi ajikojolee.
🤣🤣🤣🤣🤣Hawezi kujenga Kenya ambapo your only external market ni Uganda ambao na wenyewe wana refinery yao aache Tanzania ambayo kuna Malawi, Zambia, DRC, Comoros, Burundi, Rwanda, Mozambique, Zimbabwe, Kenya etc hawezi upeleka Kenya kama anataka lion market share!
Primary school dropout huyo.Anadhani public servants na civil servants ni same thing. 🤣 🤣 🤣