Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ni mjinga tu, unataka arguments za kitoto na sina huo muda
Sasa nani kati Mimi nawewe ni mjinga, UN office haiwezi kuwa na economic benefit kwa common mwananchi zaidi ya mateso tu, gharama ya rent itapanda na wakodishaji sio nyinyi bali wasomali tu , kuongezeka kwa misafara na mambo ila kwa sababu nyinyi ni wajinga mtafurahia .
Hivi experts anayekuwa exempted kwenye income tax anafaida gani kwenu🤣🤣🤣
 
Sasa nani kati Mimi nawewe ni mjinga, UN office haiwezi kuwa na economic benefit kwa common mwananchi zaidi ya mateso tu, gharama ya rent itapanda na wakodishaji sio nyinyi bali wasomali tu , kuongezeka kwa misafara na mambo ila kwa sababu nyinyi ni wajinga mtafurahia .
Hivi experts anayekuwa exempted kwenye income tax anafaida gani kwenu🤣🤣🤣
Aren’t you the same fala who claimed UN has headquarters in Arusha …🤣🤣🤣
 
Yenu ni DINO ( Devolution in Name Only )… 🤣🤣
Ila yenu Iko practical ila wanakula politicians , imagine kufanya upgrade ya railway kwa 2bil ksh kwa 12.km au kujenga sgr kwa 15mil usd per kilometer versus 4.5mil usd per kilometer , Bora tubaki na yetu ya maneno
 
Who’s Abagail Chams ?… she impressed at the Summit concert at Kasarani arena … Good job Bongo …
 
Hakuna kitu kama hicho duniani kote.
It is just a normal UN office. Siyo HQ
Whatever. About 2000 UN employees are shifting from New York to Nairobi, unajua boost Nairobi itapata kwa real estate na service industries? Ikiwa explosion ya Nairobi saa hii inawashtua na je hapo mbeleni?
 
Buda unalia nini sasa umeshindwa prove kuwa UN office in Arusha😭😭😭😭😭
Jifunze kuargue usiwe mjingamjinga flani Kila siku nakuumbua tu.
I am sure of it ( unfortunately y’all Bongolalas argue the same so it’s easily to get mixed up)…..so if it’s not you then find out for me who …🤣🤣🤣😆
 
Whatever. About 2000 UN employees are shifting from New York to Nairobi, unajua boost Nairobi itapata kwa real estate na service industries? Ikiwa explosion ya Nairobi saa hii inawashtua na je hapo mbeleni?
It’s also an investment catalyst for multinationals….the benefits ard enormous.
 
Sasa nani kati Mimi nawewe ni mjinga, UN office haiwezi kuwa na economic benefit kwa common mwananchi zaidi ya mateso tu, gharama ya rent itapanda na wakodishaji sio nyinyi bali wasomali tu , kuongezeka kwa misafara na mambo ila kwa sababu nyinyi ni wajinga mtafurahia .
Hivi experts anayekuwa exempted kwenye income tax anafaida gani kwenu🤣🤣🤣
Nyinyi kwenu wahindi wakimiliki industries zote hamfaidiki lakini si bado mnafurahia?
 
Back
Top Bottom