Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekosa point ya kujadili umeanza kejeli. Sisi tunakueleza kuwa mfumo wa Tanzania mpaka serikali ya kijiji au mtaa inajiendesha yenyewe kwa OSR.

Kubali kujifunza ili upate exposure. Acha kushikiwa akili.
Ajulie wapi, sasa devolution halafu bado hawawez bado wanasomea chini ya miti na kubaguana
 
Sasa economic benefits gani unaona itazileta wakati hao Wana tax exemptions.
Halafu tambueni sio un headquarters ni
-United Nations Environment Programme
-UN-Habitat
Sasa hapo mnahisi mtaambulia nini zaid ya mzigo tu maana experts wote lazima watoke nje.
Pia un hata hizo middle level jobs zitakuwa za wote , zaid ya Kodi ya majengo na nyumba ambazo zote zitakuwa tax exempted ,mtapata nini zaidi.
Ungepitia video ungejua UN inapanua headquarter ya Nairobi kuifanya iwe the same level na zile za New York na Geneva
 
Huyo tumpuuze tu
Imagine My county Nakuru being able kujenga hospitali kama hizi kwenye kila constituency
View attachment 3587832
Na masoko kadhaa kama haya
View attachment 3587833

Nini anajaribu kulinganisha haswa
Hivi vitu vidogo sana, masoko na bus terminal kama hivyo vyenu tushatoka.
Hizo projects ulizoweka hapo zinatokana na allocation Toka central government, tunataka projects zikizotokana na owns source revenue tu,🤣🤣🤣🤣.
 
Ungepitia video ungejua UN inapanua headquarter ya Nairobi kuifanya iwe the same level na zile za New York na Geneva

Buda usijidanganye wote tuko online , hata zijengwe zaidi ya zile kwenu bado itakuwa burden , ingekuwa labda kinashushwa kiwanda Cha Boeing hapo sawa ila ofisi Tena almost majority ni tax exempted.
Hizi ni sifa za kijinga tu🤣🤣🤣
Yaan ni sawa na kuwa kambi ya jeshi ya marekani kwenu
 
Hivi vitu vidogo sana, masoko na bus terminal kama hivyo vyenu tushatoka.
Hizo projects ulizoweka hapo zinatokana na allocation Toka central government, tunataka projects zikizotokana na owns source revenue tu,🤣🤣🤣🤣.
Hawana hicho kaka. Maana yake Counties zinaendeshwa na pesa za central government.

Kitu hicho kilimshinda muingereza akayakikbia makoloni yake.
Central Government ya kenya italemewa na kutakuwa na vurugu isiyo na kifani
 
Hawana hicho kaka. Maana yake Counties zinaendeshwa na pesa za central government.

Kitu hicho kilimshinda muingereza akayakikbia makoloni yake.
Central Government ya kenya italemewa na kutakuwa na vurugu isiyo na kifani
Hawajui hata hizo bus terminals wanazoziona online ni za municipals tu🤣🤣🤣
 
Buda usijidanganye wote tuko online , hata zijengwe zaidi ya zile kwenu bado itakuwa burden , ingekuwa labda kinashushwa kiwanda Cha Boeing hapo sawa ila ofisi Tena almost majority ni tax exempted.
Hizi ni sifa za kijinga tu🤣🤣🤣
Yaan ni sawa na kuwa kambi ya jeshi ya marekani kwenu
Mawazo yao wanadhani watu wataenda kutalii kushangaa jengo la UN nairobi. Huwezi ukaona mambo kama haya kwenye nchi za watu wenye akili. USA mwenyewe ameanza kujitoa kwenye organizations za UN.
 
Ruto kakudanganya, au unaota amka utajikojolea
Lia zaidi
1000122248.jpg
 
Hawajui hata hizo bus terminals wanazoziona online ni za municipals tu🤣🤣🤣
Kaka hebu tumpatie hivi hapa vichache aweze kujifunza kuhusu OSR

Hoteli ya Halmashauri ya Ukerewe:

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe inakamilisha ujenzi wa Hoteli ya Nansio kwa kutumia fedha za mapato ya ndani.

Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilosa:

Mradi huu wenye thamani ya zaidi ya Tsh bilioni 1.5 unajengwa kwa kutumia mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa pamoja na nguvu za wananchi.

Masoko na Machinjio ya Kisasa Geita:
Halmashauri ya Mji wa Geita imekuwa ikitumia mapato yake ya ndani (OSR) na fedha za kutoa huduma kwa jamii (CSR) kutoka migodini kujenga miradi ya kimkakati kama masoko na machinjio.

Soko na Vituo vya Afya Siha: Halmashauri ya Wilaya ya Siha imekuwa ikitumia asilimia kubwa ya mapato yake ya ndani kuboresha miundombinu ya elimu na afya bila kutegemea serikali kuu pekee
 
Buda usijidanganye wote tuko online , hata zijengwe zaidi ya zile kwenu bado itakuwa burden , ingekuwa labda kinashushwa kiwanda Cha Boeing hapo sawa ila ofisi Tena almost majority ni tax exempted.
Hizi ni sifa za kijinga tu🤣🤣🤣
Yaan ni sawa na kuwa kambi ya jeshi ya marekani kwenu
We ni mjinga tu, unataka arguments za kitoto na sina huo muda
 
Ungepitia video ungejua UN inapanua headquarter ya Nairobi kuifanya iwe the same level na zile za New York na Geneva
Kizungu ni ngumu …😆😆…. Infact Nairobi is now the largest UN campus and more construction coming to enlarge it even further…
 
Back
Top Bottom