concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Ajulie wapi, sasa devolution halafu bado hawawez bado wanasomea chini ya miti na kubaguanaUmekosa point ya kujadili umeanza kejeli. Sisi tunakueleza kuwa mfumo wa Tanzania mpaka serikali ya kijiji au mtaa inajiendesha yenyewe kwa OSR.
Kubali kujifunza ili upate exposure. Acha kushikiwa akili.