Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha kwani KQ izo ndege ni zenu?? Hebu fuatilia ujue AirTanzania imemiliki ndege ngapi, kama isingekuwa kupata ajali ndege zetu AirTanzania ingekua mbali Sana..
Kwaida yenu sana you stupid bongolalas hamkosa vijisababu na visingizio. Kwani ni shirika gani la ndege duniani haijawahi patwa na ajali? KQ has faced some of the worst accidents but it is still going strong despite the numerous challenges. Hizo zenu ndio zilikua ajali za aina gani kukwamisha huduma za shirika la ndege ya kitaifa? Stop this lazy talk na muanze kujenga nchi yenu itoke ldc. Vijisababu haitawasaidia
 
Kwaida yenu sana you stupid bongolalas hamkosa vijisababu na visingizio. Kwani ni shirika gani la ndege duniani haijawahi patwa na ajali? KQ has faced some of the worst accidents but it is still going strong despite the numerous challenges. Hizo zenu ndio zilikua ajali za aina gani kukwamisha huduma za shirika la ndege ya kitaifa? Stop this lazy talk na muanze kujenga nchi yenu itoke ldc. Vijisababu haitawasaidia
Stop talking nonsense, kumbuka Air Tanzania inamilikiwa na Serikali 100% kwahiyo ikitokea loss kubwa inachukua muda kidogo Ku recover..
. KQ ina wadau wengi na serikali yenu ina benefit kidogo sana yani hilo shirika linawasaidia kutangaza tu nchi yenu na haliko kwa ajili ya kuipatia nchi yenu mapato..
 
sasa unafikiri izo nyumba wanapewa bure.
Kama uko na uwezo na pesa ya kununua nyumba mbona ungoje serikali ikujengee? Ndo maana nilisema kwamba nyinyi ni wavivu na wazembe, a sharp contrast with us kenyans and one of the key reasons why kenya haiko ldc. sisi ni watu wa kujituma tofauti na nyinyi watu wa story za vijiweni mkingoja serikali iwafanyie kila jambo including basic ones like building a house. Sasa kama nyumba ndio hamwezi jenga ni uchumi yenu ndio mtajenga?
 
Yani Tanzania inakua na national carrier for the first time since independence with five planes to its name na inataka kushinda na KQ, a company that has been in operation since time immemorial! Hata hamna haya mkitaja ndege tano hapa
Ndege tano zipi?? na wameshindwa kuikomboa bombardier pale kwa wazungu sababu ya madeni sembuse kuweza kununua ndege tano si Uchumi utaporomoka. Ndege zenyewe haziwezi fika Isiolo from southern Tanzania juu maximum distance to be covered cannot exceed 2000km ni ndege za the 80s and 90s.
 
The link clearly states that Moi International Airport recorded growth both in the number of passengers and Cargo which simply means JKIA is Competing with Moi International.
Kwani hujui kizungu ni tatizo kwa hawa jamaa? Ingeandikwa kwa kinyamawezi labda angeelewa. The Diamonds of this wirld!
 
Dar es Salaam City

3bd69fbb77b208f425aea1a824285358.jpg
3dadb2198e1adccdf4fa81d135f6bac0.jpg
 
Kama uko na uwezo na pesa ya kununua nyumba mbona ungoje serikali ikujengee? Ndo maana nilisema kwamba nyinyi ni wavivu na wazembe, a sharp contrast with us kenyans and one of the key reasons why kenya haiko ldc. sisi ni watu wa kujituma tofauti na nyinyi watu wa story za vijiweni mkingoja serikali iwafanyie kila jambo including basic ones like building a house. Sasa kama nyumba ndio hamwezi jenga ni uchumi yenu ndio mtajenga?

Nakuhakikishia watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe kuzidi wakenya mara 10. Unadhani hatujui wakenya wengi mnaishi kwenye nyumba za kupanga zinazomilikiwa na kabila la wakikuyu.
 
Nakuhakikishia watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe kuzidi wakenya mara 10. Unadhani hatujui wakenya wengi mnaishi kwenye nyumba za kupanga zinazomilikiwa na kabila la wakikuyu.
Why are you contradicting yourself? Nani amesema mda mfupi uliopita kwamba in Tanzania ni jukumu la serikali kujengea watu nyumba? Iweje tena watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe mara kumi zaidi ya wakenya? Na hizo takwimu umetoa wapi? Kijana mdogo, fanya kazi kwa bidii wewe na wandanganyika wenzako muokoe nchi yenu kutoka ldc.Ni aibu sana kuwa kwa ile list. Acha kupambana na Kenya, utapasuka msamba
 
Why are you contradicting yourself? Nani amesema mda mfupi uliopita kwamba in Tanzania ni jukumu la serikali kujengea watu nyumba? Iweje tena watanzania wanajenga nyumba zao wenyewe mara kumi zaidi ya wakenya? Na hizo takwimu umetoa wapi? Kijana mdogo, fanya kazi kwa bidii wewe na wandanganyika wenzako muokoe nchi yenu kutoka ldc.Ni aibu sana kuwa kwa ile list. Acha kupambana na Kenya, utapasuka msamba

Angalia vizuri nani aliyesema hivyo.
 
So what can we do for you son?
No, thanks. we don't need anything from you brother. Keep the little that you have. You are ldc afterall, you desperately need everything you have right now.
 
Why Kenya Airways is abbreviated as KQ and not KA
baada ya kuvunjika kenya ilichukua miundombinu yote ambayo nchi zote 3 zilichangia kujenga.
Kenya ilkua inamiliki zaidi ya 70% ya EA airways jifunze kufanya utafiti kabla ya kumwaga ujinga...angalau ata Uganda walijaribu kuchangia kwenye shirika Tanzania ilkua shida tupu(hadi sasa hivi Tanzania inapata shida kuchangia pesa kwenye budget ya EAC licha ya kuwa pesa tu kidogo)....ndege nyingi zilizomilikiwa na EA airways zilinunuliwa na serikali ya Kenya ndo maana ilkua logical Kenya kubaki na ndege baada ya shirika kuvunjika
 
Angalia vizuri nani aliyesema hivyo.
Wewe ingia ukalale. Ni dhahiri kwamba ushachoka. Kama huwezi kumbuka kitu wewe mwenyewe uliandika less than 30 minutes ago it only means two things: either hautaki kukubaliana na ukweli ama umechoka.
 
Tanzanians kama wako Kenya wanakaa paka amenyeshewa....ngoja wajifiche hapa jf....smh
 
Huijui dar kijana kama ulikua unaishi survey estate ukishafika Mliman city mall unarudi ndani ndio umemaliza basi ni uzembe wko,
Pale shekilango tu kuna flats kibao sijakupeleka mbezi beach,mikocheni, masaki, oysterbay,Upanga


siku utafika Nairobi utadharau darislum yenu hiyo
 
Sasa mbona hamna hata ndege moja na mnapata hasara kila mwaka?, huo uzamani umewasaidia nini kama hadi leo haliwezi kujiendesha?
Inajiendeleza ndio maana October this year inalaunch direct flights to America, joining the league of few airlines in Africa with firect flights to the US. Wewe hapo bongo ukitaka flight ya direct to the US itabidii uje unyenyekee Nairobi na "uongee vizuri"
 
some of the aircrafts owned by KQ and their registration numbers
Reg Aircraft Type *
 5Y-KQC Boeing 737-300(F)
5Y-KQD Boeing 737-300(F)
 5Y-KQG Boeing 737-700
 5Y-KQH Boeing 737-700
 5Y-CYA Boeing 737-800
 5Y-CYB Boeing 737-800
 5Y-CYC Boeing 737-800
 5Y-CYD Boeing 737-800
 5Y-CYE Boeing 737-800
 5Y-KYD Boeing 737-800
 5Y-KYE Boeing 737-800
 5Y-KYF Boeing 737-800
 5Y-KZA Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZB Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZC Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZD Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZE Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZF Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZG Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZH Boeing 787-8 Dreamliner
 5Y-KZJ Boeing 787-8 Dreamliner
5Y-FFA Embraer ERJ-190
 5Y-FFB Embraer ERJ-190
5Y-FFC Embraer ERJ-190
5Y-FFD Embraer ERJ-190
5Y-FFE Embraer ERJ-190
 5Y-FFF Embraer ERJ-190
 5Y-FFG Embraer ERJ-190
 5Y-FFH Embraer ERJ-190
 5Y-FFJ Embraer ERJ-190
 5Y-FFK Embraer ERJ-190
5Y-KYP Embraer ERJ-190
5Y-KYQ Embraer ERJ-190
5Y-KYR Embraer ERJ-190
5Y-KYS Embraer ERJ-190
5Y-KYT Embraer ERJ-190
 
Back
Top Bottom