Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ozkaruvw0khqtqj587890dfc1046.jpg

Show me any estate ya common mwananchi in Dar with such buildings
Oh my Dick, what is this? Are you living in this?
 
Dogo wewe ni mgeni hapa, we've discussed those things pages and pages here,
At present the Tallest buildings in east Africa are
1.Tanzania Ports authority 40floors 178m high
2. PSPF tower A 35floors 153m
3.PSPF Tower B 35Floors 153 m
4.UAP

Hiyo pinnacle bado mnachimba shimo since 2014,
There is no 34floor building in the entire kenya, Eat that.
upload_2018-1-11_20-15-37.png

from https://www.worldatlas.com/articles/the-tallest-buildings-in-africa.html......do you know creddible news sources ama wasoma blogs?
 

Attachments

  • upload_2018-1-11_20-15-34.png
    upload_2018-1-11_20-15-34.png
    108.7 KB · Views: 26
There is no single storey building in Dar es Salaam ya watu kuishi. Ghorofa zenu ziko pale Kariakoo, Ubungo na Posta.
Hayo maghorofa ya pamoja yalijengwa enzi za nyerere, tuliacha nayo, sasa hivi Magufuli ameamua kuyajenga tena, ili yatakuwa ya kisasa zaidi sio kama hayo yenu, too many people without necessary services, Shekilango National Housing, Urafiki, Temeke, Mwenge JWTZ, Lugalo JWTZ, just few to mention
 
Hayo maghorofa ya pamoja yalijengwa enzi za nyerere, tuliacha nayo, sasa hivi Magufuli ameamua kuyajenga tena, ili yatakuwa ya kisasa zaidi sio kama hayo yenu, too many people without necessary services, Shekilango National Housing, Urafiki, Temeke, Mwenge JWTZ, Lugalo JWTZ, just few to mention
Hizo za serikali unazoongelea huku Nairobi zilivunjwa kitambo. Hizi mnazo kweli
upload_2018-1-11_20-22-28.png
 
Hizo za serikali unazoongelea huku Nairobi zilivunjwa kitambo. Hizi mnazo kweli
View attachment 673190
Hayo mabweni ya Nairobi yanamilikiwa na only few Kikuyu politicians ,
The rest of you have nothing,
U and I know that Kenya isn't for every Kenyan,
But for few Muzungu, Indians, And some elite Gikuyu and Kalenjins from Nobel Families. ( the Uhurutos & co)
 
at least ziko na maji and flash toilets. That's a photo of Githurai an estate 30 km from Nrb CBD 100 times better than Kinondoni or Ilala
 
Hayo mabweni ya Nairobi yanamilikiwa na only few Kikuyu politicians ,
The rest of you have nothing,
U and I know that Kenya isn't for every Kenyan,
But for few Muzungu, Indians, And some elite Gikuyu and Kalenjins from Nobel Families. ( the Uhurutos & co)
Are they not Kenyans?
 
Some Tanzanians here are so daft, KQ ilianza kununua ndege while you had nothing, ndege KQ wakonazo you can't even compare na hizo ndege tano munangoja hivyo. Leasing ilianza tu hapa juzi na sio ndege mingi zimekua leased. Kwanza KQ hata ikona ndege zake leased to other airlines. Munajipiga kifua na bombardier sasa mkinunua boeing au airbus si mtatembea uchi ju ya over excitement. One step at a time kwa aviation industry bado muna safari ndefu sana ndo mutambulike.
For your information, we have paid for two dreamliners, Kenya haina dreamliner hata moja, zote mlizonazo mumekodisha, lete ushahidi kama Kenya ina ndege zake yenyewe, zote hizo Boeing na zingine kubwakubwa mumekodisha
 
Are they not Kenyans?
Hapo ndiyo tunatofautiana, sisi tunaamini kwamba serikali inawajibika kujenga nyumba kwa ajili ya wananchi wake ikisaidiana na private sector, kwa kufanya hivyo, itaweza kudhibiti ubora wa nyumba hizo na kuhakikisha zinakuwa affordable kwa wananchi walio wengi. Ninyi huko private sector inanguvu kuliko serikali, sio rahisi kudhibiti ubora wa nyumba hizo, ndiyo sababu kila kukicha majumba yanaporomoka huko kwenu
 
In Tanzania apart from musicians hamna sector nyingine inalipa hela mingi zaidi ya Kenya. Name them. GDP ya Matatu industry ni kubwa kuliko GDP ya Dar mzima all industries combined.
Umeanza kuonyesha ulivyo bogus,Dar
Brt buses zinatengeza pesa ndefu kuliko ke sgr hujishtukii?
matatu ni aina ingine ya uchafu unaozunguka
 
Back
Top Bottom