Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1778425044634.png
 
Hapana huu ni mchezo wa media za Kenya usisahau kilichotokea kabla ya EACOP! Ukisoma hii ripoti jaribu kuangalia inajaribu kufanya nn! Samia anapaswa kuunda timu nzuri kuhakikisha refinery inabaki Tanga! Kumbuka refinery Tanga itauza pia mafuta Zambia na kuendelea maana TAZAMA pipeline inasafirisha refined products baada ya kuwa converted from crude to petroleum products! Samia anapaswa kucheza na Total, Museveni na Dangote pamoja na Kenya iwekwe pembeni kama Magufuli alipowazuia kwenye kuamua EACOP route! Dangote anapaswa kuwa amealikwa tayari kwa mazungumzo! Pia Rostam anapaswa kutumiwa!
Between you and Dangote who is the better businessman?
 
Remember Total has no plan of refining UG oil. The same total is in Nigeria and Angola but they have never built any refinery there despite their huge oil reserve.

Just like I said, Total will always be happy to sell crude oil to their European counterparts, refine them there and resell the refined oil back to the crude owner😂😂🤣
Walidhani mzungu ni rafiki wao. 🤣 🤣
 
Him, being a businessman embodies that he can't build a refinery in Mombasa.


Kenya has nothing to offer.


In Tanzania, he will benefit with readymade infrastructures.
  • Free land
  • Tax incentives
  • Lower taxes
  • EAC, SADC markets
  • Crude oil Pipelines (owned by TZ-UG)
  • Port.
  • Cheap electric power (Coal, gas, Hydro)
  • Successful Experience working in Tanzania.

Dangote is not that STUPID.

View attachment 3586521
You acknowledge he is not stupid yet you purport to speak on his behalf?
 
Back
Top Bottom