Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes, ni mtu moja. Can't you see now stakehigh is inactive? When he will be active President of China ndio atakuwa offline sasa😂😂
Kataa kama siyo wewe huyu

1778424864545.png
 
Hapana huu ni mchezo wa media za Kenya usisahau kilichotokea kabla ya EACOP! Ukisoma hii ripoti jaribu kuangalia inajaribu kufanya nn! Samia anapaswa kuunda timu nzuri kuhakikisha refinery inabaki Tanga! Kumbuka refinery Tanga itauza pia mafuta Zambia na kuendelea maana TAZAMA pipeline inasafirisha refined products baada ya kuwa converted from crude to petroleum products! Samia anapaswa kucheza na Total, Museveni na Dangote pamoja na Kenya iwekwe pembeni kama Magufuli alipowazuia kwenye kuamua EACOP route! Dangote anapaswa kuwa amealikwa tayari kwa mazungumzo! Pia Rostam anapaswa kutumiwa!
Between you and Dangote who is the better businessman?
 
Remember Total has no plan of refining UG oil. The same total is in Nigeria and Angola but they have never built any refinery there despite their huge oil reserve.

Just like I said, Total will always be happy to sell crude oil to their European counterparts, refine them there and resell the refined oil back to the crude owner😂😂🤣
Walidhani mzungu ni rafiki wao. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom