Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanga na ushamba wapi na wapi mzee wa ushagoo.? Kuna watu wajanja kuliko sisi tunaotokea Indian Ocean kwa hii region.? 😂😂😂 kila kitu unaona sisi ndio tulitangulia kuona before zifike kijijini kwenu migori 50 years later.
We ni mshamba wa Tanga, hakuna kitu unaweza nishow. 😂 😂
 
Bana, mbilikimo hua mshamba. 😂 😂 Sasa eti anatushtua na platter ya ksh 15k.
Nataka nikufundishe wewe zezeta mshamba kutoka vijijini kwamba KFC menus are cheap na uwepo wake sio kipimo cha middle class kama ulivyojaribu kutuaminisha kwa ushamba wako, pumbavu wewe 😂😂😂
 
Back
Top Bottom