Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa nchi yenyewe watu wanaruka geti, FKF president hataki kuachia uongozi unategemea nn

Hivi tuwaambie derby ya kariakoo itayofanyika jenerali isamuhuyo mbezi itaenda zidi mapato ya derby yao pamoja na kuwa kiwanja kitakachotumika ni Cha 7000 spectators
 
It’s now official ….. Hii itawauma Bongolalas ..
IMG_8807.png
 
I know lots of top tier American football colleges are expanding their luxury suites but till then .. Talanta is number 4 in the world… ( University of Alabama stadium leads with 159)….. Talanta si mchezo!
IMG_8807.png
 
Hizo zote ni Kelele tu . But hereby are the facts;
AFCON opening ceremony and Finals ni Talanta
Talanta when complete will be the top stadium in East and Central Africa.
Talanta will have 52 skyboxes making it 4th on the planet . Think about that
Yap tunaweza waachia mu host both opening and closing sababu hamtakuwa na viwanja vya kutosha . Mtakuwa na talanta tu , kasarani na nyayo ni ngumu sana kuvuka huo mtihani wa certification.
Hat mkihost sisi tukahost all matches and semi finals still yet tutakuwa tumeingiza kuliko nyinyi.
 
So dictatorship imekuwa sasa ni Maendeleo?… ok jienjoy basi ..🤪
Which country is democratic? arent you the one who killed kids in church? leave alone the mass graves found last month ama unadhan hatujui? arent you the one who burnt Uganda embassy?
 
Hizo zote ni Kelele tu . But hereby are the facts;
AFCON opening ceremony and Finals ni Talanta
Talanta when complete will be the top stadium in East and Central Africa.
Talanta will have 52 skyboxes making it 4th on the planet . Think about that
🤣 🤣 open and close wewe ndo uliweka BID?
Top stadium in what? skyboxes tushawafundisha na lesson itaendelea kesho asubui mpaka muelewe skybox ni zipi
BTW did you get the news that still Plastic Arena has failed to reach CAT 3?
 
Yap tunaweza waachia mu host both opening and closing sababu hamtakuwa na viwanja vya kutosha . Mtakuwa na talanta tu , kasarani na nyayo ni ngumu sana kuvuka huo mtihani wa certification.
Hat mkihost sisi tukahost all matches and semi finals still yet tutakuwa tumeingiza kuliko nyinyi.
opening na nn? Hujapata taarifa Kule mkapa tushabadilisha siti zote za zaman? Hujapata news Uganda wamegoma wanataka wapewe either open or close because hawakupewa anything during CHAN?
and whats funny ule mzigo bado haujafika ata CAT 4
 
Back
Top Bottom