Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
This is what the market is on the ground
View: https://x.com/eajene/status/2038866885110804808
And this is what happens in ukunduni baada ya SA kuwatongoza kidogo!
View: https://x.com/CapitalFMKenya/status/2039237925892767974
View: https://x.com/BD_Africa/status/2039264003864879593
MY TAKE
Ukiangalia vizuri SA is playing Ukunduni! Kama mmesahau kumbukeni hii game ilianza waay back, kama mnakumbuka Diageo's EABL na Sabmiller's TBL beer war around year 2000! Imeenda mpaka climax kipindi cha Visa free zone! SA iliruhusu kila nchi SADC kuingia free SA ikazuia Ukunduni! Ukunduni waka-panic Uhuru akaenda SA wakaruhusiwa na since then mabenki na sasa Safaricom imenyakuliwa na Vodacom. Na Nigeria pia inaiga walichofanya SA wanawatoza Wakunduni visa price ya Juu kuliko Nigerians wanalipa wakija Ukunduni! Kingine mkumbuke Rostam Aziz aliuzia Vodacom SA 35% of his stake in Vodacom na ku-divest kama alivyowauzia Aga Khan's Nation Media Group Mwananchi publications in Tanzania!
View: https://x.com/eajene/status/2038866885110804808
And this is what happens in ukunduni baada ya SA kuwatongoza kidogo!
View: https://x.com/CapitalFMKenya/status/2039237925892767974
View: https://x.com/BD_Africa/status/2039264003864879593
MY TAKE
Ukiangalia vizuri SA is playing Ukunduni! Kama mmesahau kumbukeni hii game ilianza waay back, kama mnakumbuka Diageo's EABL na Sabmiller's TBL beer war around year 2000! Imeenda mpaka climax kipindi cha Visa free zone! SA iliruhusu kila nchi SADC kuingia free SA ikazuia Ukunduni! Ukunduni waka-panic Uhuru akaenda SA wakaruhusiwa na since then mabenki na sasa Safaricom imenyakuliwa na Vodacom. Na Nigeria pia inaiga walichofanya SA wanawatoza Wakunduni visa price ya Juu kuliko Nigerians wanalipa wakija Ukunduni! Kingine mkumbuke Rostam Aziz aliuzia Vodacom SA 35% of his stake in Vodacom na ku-divest kama alivyowauzia Aga Khan's Nation Media Group Mwananchi publications in Tanzania!