Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is what the market is on the ground

View: https://x.com/eajene/status/2038866885110804808

And this is what happens in ukunduni baada ya SA kuwatongoza kidogo!

View: https://x.com/CapitalFMKenya/status/2039237925892767974


View: https://x.com/BD_Africa/status/2039264003864879593

MY TAKE
Ukiangalia vizuri SA is playing Ukunduni! Kama mmesahau kumbukeni hii game ilianza waay back, kama mnakumbuka Diageo's EABL na Sabmiller's TBL beer war around year 2000! Imeenda mpaka climax kipindi cha Visa free zone! SA iliruhusu kila nchi SADC kuingia free SA ikazuia Ukunduni! Ukunduni waka-panic Uhuru akaenda SA wakaruhusiwa na since then mabenki na sasa Safaricom imenyakuliwa na Vodacom. Na Nigeria pia inaiga walichofanya SA wanawatoza Wakunduni visa price ya Juu kuliko Nigerians wanalipa wakija Ukunduni! Kingine mkumbuke Rostam Aziz aliuzia Vodacom SA 35% of his stake in Vodacom na ku-divest kama alivyowauzia Aga Khan's Nation Media Group Mwananchi publications in Tanzania!
 
Renders for the new JKIA airport
1775038601405.png

1775038623079.png
 
TBT 2018
 
TBT

View: https://www.youtube.com/watch?v=rrltFjjDQrg
 
TBT 2018

View: https://x.com/timexx47/status/2039278397692539267
 
We Mzee punguza upumbavu, the honeycomb design kama ya Marikiti ilijengwa in the 70's hata hizo picha umepost can confirm hio design haikua earlier.
Hebu weka hilo jengo hapa tulione. Maana hapa Tanzania kuna majengo mengi tu makongwe ya masoko from Zanzibar, Dar es salaam, Bagamoyo and Kilwa. Weka tuthaminishe
 
We Mzee punguza upumbavu, the honeycomb design kama ya Marikiti ilijengwa in the 70's hata hizo picha umepost can confirm hio design haikua earlier.
Kabla hata ya hiyo Marikiti or anything. Huko kenya lilikuwa ni pori wanaishi fisi. Huku Tanzania Civilization ilikuwa inaendelea watu walikuwa wanauza na kununua soko la Rhapta
 
This is the richest city in this region bongolala.
The city with the biggest number of expats
The city with the biggest number of dollar millionaires
The entertainment capital of East Africa
The city that never sleeps
This is the heartbeat of East Africa
  • Dollar millionaires ni uongo, ni statistics za kutengeneza.
  • Entertainment capital ni uongo pia, watu wenu hata kwenye mechi za mpira hawaudhurii. Mnaandamana na kuuawa kwa unga tu.
  • heartbeat?? Ni uongo pia, moyo utafanya kazi vipi bila chakula, nchi ambayo a decent meal a day ni changamoto kwa kila mtu.?
 
I stopped reading when I reached here. 🤣🤣🤣🤣

You mean this is one of the entertaining things in Dar? Chips mayai? Kitu inapatikana even on the streets of Kenya's smallest towns. Enyewe siku ya nyani kufa...
A dish ambalo original yake ni Tanzania. Nyie ni wakukopi tu na kupaste.
Mna nini nyie tunaweza pika na kula huku?
 
Back
Top Bottom