Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa wewe ndiye unanichagulia cha kujadili? Ninaongea tu kwa kukustahi maana bado mgeni. Nimekueleza fuatilia comment zangu since I joined JF. Wewe anzisha thread kokote yenye maana nitatia maguu. I don't discuss people my friend. Ukileta thread ya kumjadili mtu sitatia neno.
@jukwaa la Siasa hakuna Mtanzania atasikiliza upuzi wako lakini Kenyan news and politics wenzao kina chooboy, jiwe la mavi, kengeza ulole and other like minded retards Muko tayari kunyonyana mb#ro 24/7.
 
So lami za Dar vile zimejaa white sand na pia kuparara ndio unalinganisha na hiyo!?
Mchanga wetu hauchafui nguo wala magari, toka lini mtu anachafuka from sea sand, ila udongo wenu wa kulimia mihogo lazima uchafuke braza, dongo jekundu hilo
 
@jukwaa la Siasa hakuna Mtanzania atasikiliza upuzi wako lakini Kenyan news and politics wenzao kina chooboy, jiwe la mavi, kengeza ulole and other like minded retards Muko tayari kunyonyana mb#ro 24/7.
Wewe umeanza kuona comment za Annael juzi tu. Nipo JF since 2011. Nimekupatia home work. Fuatilia comment na thread zangu. Kisha uje hapa na heshima. Jukwaa hili tulikuja tu kuweka mambo sawa. But mara nyingi huwa nipo kwenye jukwaa la intelligent. So unatakiwa ujifunze kukubaliana na matokeo. Kenya na Tanzania zipo kwenye kapu moja japo Tanzania ipo na benefits nyingi kutokana na
1. Resources
2 Geographical Location nzuri
3. National unity
etc.
 
Hivi hawa wakenya mbona point yenu kubwa ni barabara tu , you cant win thru one point semeni mengine.. barabara barabara tumeshachoka ..
 
Arusha
b354cbfb95558cef0f281cddcc121379.jpg
cea8aa5f27261054ce7d7d58031b1df5.jpg
6689b69a48165cfbe727874d97c80c90.jpg
c049f69a8ffdcb8ddbae514750fba63d.jpg
 
Nasikia huyu CS amebakishwa katika baraza la mawaziri, kweli Kenya hakuna watu, huyu alipaswa kutimliwa kipindi kile cha kugombania bomba la mafuta, alikuwa anazungumza urongo mtupu, kichwani hajui kitu huyu jamaa kabisa
Wewe hujui kazi alioifanya Charles keter kwa sasa stima ni 80% connectivity na streets lights iko kwa kila town na centres
 
Hivi hawa wakenya mbona point yenu kubwa ni barabara tu , you cant win thru one point semeni mengine.. barabara barabara tumeshachoka ..
lete Residential Areas za dar is slum tuone pahali nyinyi hukaa
 
Inaonakana baadhi ya Watanzania katika hii thread wanajali zaidi kuhusu yanoyotekea nchini Kenya kuliko Tanzania. Ninapo pitia thread za Jukwa la siasa siwaoni vifaranga wa Magufuli Kama Annael na ichoboy. Lakini nikifika katika sehemu ya Kenya wanaonekana usiku kucha.
Wewe unadhani kila mtu yuko na muda wa kipuuzi kujadili lisu,mara magu katukana.
 
lete Residential Areas za dar is slum tuone pahali nyinyi hukaa
Is your responsibility kutafuta residential areas za Tanzania. Sisi tumeweka za huko kenya. Tafuta kama utaona vibanda kama vya nguruwe Dar.
 
Wewe hujui kazi alioifanya Charles keter kwa sasa stima ni 80% connectivity na streets lights iko kwa kila town na centres
Yoow, street lights za dar ni kibogo kijana. Nairobi mji wenu hauwaki kama wetu.. njoo ujionee nyie barabara zenu zina kigiza fulani hivi cha mbali..sisi ukiachana na normal street lights za pembeni kuna za kati ambazo
lete Residential Areas za dar is slum tuone pahali nyinyi hukaa
hehehehe usitaki kubishana ujinga, do me a favor nenda google search slums in dar na search slums in Nairobi then angalia which ones are worse.. kijana u fooling youself openly by disagreeing
 
Yoow, street lights za dar ni kibogo kijana. Nairobi mji wenu hauwaki kama wetu.. njoo ujionee nyie barabara zenu zina kigiza fulani hivi cha mbali..sisi ukiachana na normal street lights za pembeni kuna za kati ambazo

hehehehe usitaki kubishana ujinga, do me a favor nenda google search slums in dar na search slums in Nairobi then angalia which ones are worse.. kijana u fooling youself openly by disagreeing
Usiongelee street lights juu utaaibishwa
 
Yoow, street lights za dar ni kibogo kijana. Nairobi mji wenu hauwaki kama wetu.. njoo ujionee nyie barabara zenu zina kigiza fulani hivi cha mbali..sisi ukiachana na normal street lights za pembeni kuna za kati ambazo

hehehehe usitaki kubishana ujinga, do me a favor nenda google search slums in dar na search slums in Nairobi then angalia which ones are worse.. kijana u fooling youself openly by disagreeing
Google gives me this...
ss.png
4ut26ewnak0-1.jpg
 
Back
Top Bottom