NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
kilimani area roads
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa nini Barabara chafu hivi, Lami inatakiwa iwe nyeusi na marking ziwe njano na nyeupe, Lakini Kwa kuwa maeneo mengine tope na hamna lami , matokeo yake magari yanakuja kupaka uchafu wa maeneo yalipotoka (yasiyo na lami na penye tope) kwenye barabara nzuri. Typical Third World City.