shakar
Senior Member
- May 30, 2017
- 149
- 279
PointLess..Kama nyumba ya mtu binafsi inakuwa landmark je nyumba za watu wa kawaida ziko vipi?
PointLess..Kama nyumba ya mtu binafsi inakuwa landmark je nyumba za watu wa kawaida ziko vipi?
A whole city ? Umefundishwa wapi uwongo huo kwamba hiyo ndio the whole city?Kweli inapendeza. A whole city looking like a garbage site...
SO this is what you got when u searched dar slums.. now lets search nairobi slums please..
Apart dar kuwa na beach nini dar inaishindia Nairobi???tuseme ukweli...maybe na brt pia but generally dar is inferior to NairobiHivi hawa wakenya mbona point yenu kubwa ni barabara tu , you cant win thru one point semeni mengine.. barabara barabara tumeshachoka ..
Nasikia Tanzania kila kitu ni cityA whole city ? Umefundishwa wapi uwongo huo kwamba hiyo ndio the whole city?
Pimbi mkuu hebu changia ujanja.Kupitia Mada hii ndio nimeelewa kuwa kumbe Wakenya ni Vilaza walio pindukia
kiukweli nilikuwa sifahamu Kama wakenya ni Hovyo kichwani namna hii!!
Mwaka juzi nilikuwa nikipinga Nakuona kama Wakenya wanaonewa
pale Geza Ulole MOTOCHINI na kadoda11
wakiwarushia maneno makali baadhi ya wakenya wa jf wa zamani
lakini hawa wasasa kiukweli Wanaonyesha Elimu yao ni duni sana sana
Wanachangia pumba na ujinga
Hahaha umeonaKupitia Mada hii ndio nimeelewa kuwa kumbe Wakenya ni Vilaza walio pindukia
kiukweli nilikuwa sifahamu Kama wakenya ni Hovyo kichwani namna hii!!
Mwaka juzi nilikuwa nikipinga Nakuona kama Wakenya wanaonewa
pale Geza Ulole MOTOCHINI na kadoda11
wakiwarushia maneno makali baadhi ya wakenya wa jf wa zamani
lakini hawa wasasa kiukweli Wanaonyesha Elimu yao ni duni sana sana
Wanachangia pumba na ujinga
Acha hizo, huku kwetu kulikuwa na waziri aliyeshiriki katika kampeni ya kupata bomba la mafuta toka Uganda, alifanya kazi nzuri sana ya kuunganisha stima vijijini na kufikia 68% electricity conectivity nchini kote, the highest percentage in EA, lakini alikosea katika madini pekee, Magufuli kamfukuza, huyo Keter hana loloteWewe hujui kazi alioifanya Charles keter kwa sasa stima ni 80% connectivity na streets lights iko kwa kila town na centres
Maswali yakipuuzi hayo sasa,picha huoniso rugby exists in Tanzania..!!!!!!!
We done with you. Tumeshamaliza kila kona tumepiga. Hakuna jipya from Kenya. Kwa kuwa mmeanza kuwa na heshima tutaanza kuongea. Mkileta dharau tunawabadilikia. Show respect utaona uzuri wetu.
Hivi hawa wakenya mbona point yenu kubwa ni barabara tu , you cant win thru one point semeni mengine.. barabara barabara tumeshachoka ..
Tukisema Dar es salaam is slum wanapiga nyenye hapa. Ona hata mahali hiyo brt yao wanapiga nayo kelele hapa inapitia! Those are shanties for luck of a more befitting word
68% na unasema ni highest in EA? Hata hauna aibu. Kenya stima connectivity ni 80%Acha hizo, huku kwetu kulikuwa na waziri aliyeshiriki katika kampeni ya kupata bomba la mafuta toka Uganda, alifanya kazi nzuri sana ya kuunganisha stima vijijini na kufikia 68% electricity conectivity nchini kote, the highest percentage in EA, lakini alikosea katika madini pekee, Magufuli kamfukuza, huyo Keter hana lolote
How many times has your country participated in any international rugby championship? Sisi tumewahi kuwa world champions so si vibaya akiuliza kama Tanzania kuna rugbyMaswali yakipuuzi hayo sasa,picha huoni